hahahhaahahaha lol
aise umeongea ukweli hapo..
umenichekesha sana dear............
hapo si tukisema nakupenda kwa kabila letu
kila mtu atakimbia hii thread hahahahha lol
hata na wewe umo humo my dear hahahah lol
hahaha!nishakuwa mkali!kisa nakudhibiti!wacha iwe mbaya,,siachi ng'oo
Kabisa hebu twende kule kwenye kuchagua wanaume bana achana na AD
Mmmhh tutaharibu thread ya watu.
Ila mie thread za siku hizi zinanichekesha kweli zinachakachuliwa mapemaaa hata mtu hajapata majibu
hahaha!nishakuwa mkali!kisa nakudhibiti!wacha iwe mbaya,,siachi ng'oo
:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20: si nililijua hunipendi lolKabisa hebu twende kule kwenye kuchagua wanaume bana achana na AD
:coffee::coffee:hahahahah lol wewe si ajili ya ukali my lovely dear lady.. utaona tu
I seeKabisa hebu twende kule kwenye kuchagua wanaume bana achana na AD
I see
:A S 20::A S 20::A S 20::A S 20::A S 20: si nililijua hunipendi lol
si unaona ae
Dena yuko busy kuchagua wanaume wakati BE katoka kidogo tu haahhhaha lol
mbona hii imekaa kama vile unamwimbia mtu kwamba...nakutongoza?
hivi kwa kichina itatamkwa na kuandikwaje hapa?
Kwa kimasai tunasema..ngongongo na ngale!!!
ndakukunda chane!!!!