Nakupongeza warioba kwa kuirejesha tanganyika

Nakupongeza warioba kwa kuirejesha tanganyika

Vunjavunja

Member
Joined
May 18, 2012
Posts
92
Reaction score
11
Tanganyika ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yaliyojipatatia uhuru wake mwanzoni mwa miaka ya 1960, kwa sababu ambozo hazijulikani taifa hili lilipotea tangu mwaka 1964, shukuruni zangu za pekee zimfikie mwenyekiti wa tume ya katiba kwa kuliona hili na kuwepo kwa umuhumu wa kuwa na taifa lijulikanalo kama Tanganyika bila kuwepo kwa Tanganyika ukombozi wa raia utakuwa ni mgumu hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom