Nakushauri mwezi huu fanya hivi. Utakuja nishukuru baadaye. Huu ni uzoefu wa sisi Legends

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Hii December. Usishindane kutumia pesa na watu. Wakikualika nenda. Kanywe kale. Tunza hiyo pesa. Thamani yake utaiona January.

Mimi huwa January naokota mmoja mmoja nachinja... Hata sikimbizi. Naacha mlango tu wa home wazi.. kuku wanaingia ndani kufuata mahindi. Nakamata nachinja nasubiri mwingine.... USIMALIZE PESA YOTE DECEMBER WEWE BWEGE. HALAFU JANUARY DEMU WAKO AJE KWANGU KULAZIMISHA NIMLAMBE. SITAKI HUWA NACHOKA SANA.

 
Nipo hapa nawasubiria waje wenyewe na shida zao
 
Mimi bajeti zangu huwa hazibadilishwi za mwaka mzima kwahiyo ikiwa sikukuu itanikuta nimeshapiga bajeti ya kula ugali na maharage itabidi nile tu.

Kitu ambacho huwa nakifanyia update ni maombi Kwa Mungu tu, mfano mwaka Jana niliomba kuufunga mwaka na 40mil bank Ila mwaka huu naomba niifunge na mil50 .

Hivyo singo maza au pisi watakula wataendelea kula za wengine Ila sio sisi.
 

Tanzania ya Viwanda hii!!!!???
 
W Wahaya mnasifa za kijinga sana mkuu.
 
M nimebariki watoto ndugu kuona picha simukamazote shereheee wapiiii

Nkajibuu naombolezaa vifo vya gazaa jamani sijafikia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…