Nakusihi NILHAM RASHED

haya kazi kwako,kama ushaenda nae dinner.....basi ndo yale tuliyokuwa tunaomba....tusaidie karimu...keshakusaidia na InshaAllah yote yatakuwa sawa.....
 
Silalagi zaidi ya masaa manne ugenini,nikiwa home sawa
Nndo saa kumi na moja kamili jioni niliko,so bado kidogo

hahhaahh lol
maana nime lala nimeamka weye bado uko hapa lol
nikawa najiwazia sasa unatakiwa na wewe uombe BAN
kama Maria Roza sababau umeshakuuwa addictive hahahhahhahah lol
 
Kaka Shossi vumilia, utakuja kula yako matunda,
Endela kumlilia, nawe utakula tunda..... hahahahahhhahaa mistali imeisha ndugu yangu ningesaidia kuimbisha mpaka kieleweke.:clap2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…