Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Umejaribu kumfata PM?Namtafuta mtu anaeitwa mshana jr ndugu yangu nakutafuta naomba tuwasiliane
Nadhan kafunga PMUmejaribu kumfata PM?
Utekaji umeanza tena ?Namtafuta mtu anaeitwa mshana jr ndugu yangu nakutafuta naomba tuwasiliane
Muongo. Mm mbona nachat naeNadhan kafunga PM
Sion hiyo sehem ya kuchat mbonaMuongo. Mm mbona nachat nae
Acha ulozi basiNamtafuta mtu anaeitwa mshana jr ndugu yangu nakutafuta naomba tuwasiliane
lady in action, Mshana Jr ni kama Mandonga, anapatikana tu, hana baya na mtuNamtafuta mtu anaeitwa mshana jr ndugu yangu nakutafuta naomba tuwasiliane
Nimemroga nan?Acha ulozi basi
Wana Jf wote tunajua ukimtamfuta Mshana Jr hakuna kingine ni mambo ya urozi tu.Nimemroga nan?
😂😂😂Usinisahau na Mimi unitafte