Nakutana na changamoto ya kutokumaliza tendo. Naombeni ushauri

Nakutana na changamoto ya kutokumaliza tendo. Naombeni ushauri

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Katika mahusiano yangu nimegundua kuna changamoto fulani inayojitokeza mara kwa mara.

Mabinti wengi wamekuwa wakilalamika kuhusu maumivu wakati wa faragha, wakidai kwamba nina maumbile makubwa jambo ambalo binafsi siamini kuwa ni kweli.

Nimekuwa nikijipima mara kwa mara, na vipimo nina maumbile ya kawaida.

Na mara nyingi hali hii husababisha faragha yetu kuishia ghafla, kabla hata ya kumaliza mzunguko wa kwanza.

Pia kuna muda katika tendo unakuta kati K ya wenzi ninaoshiriki nao tendo hukauka namm sjamalza bao la kwanza na mechi inaisha hata sjamwaga.

Kuhusu mambo mengine, ninaelewa kwamba watu wanaweza kuwa na maoni tofauti, lakini mimi binafsi si mtu wa kuwa na harufu mbaya ya mwili au kinywa, mimi ni gentleman haswa.

Naombeni ushauri
 
Wakuu katika muda wa miaka yote toka nianze mapenzi na mabinti mbalimbali nmekutana na tatizo la mabinti wengi kusema wanaumia pale tunapokua faragha napeleka moto wanasema nina mkuyenge mnene na mrefu jambo ambalo sio kwel nimekua nikua nkpma urefu mara kwa mara na vpmo vna kuja inch 5 na kdogo na unene ni wakawaida tu lakn mabnt wanakmbia wanaishi kati unakuta K inakauka namm sjamalza bao la kwanza na mechi inaisha hata sjamwaga, kuhusu mambo mengne najua mtaongea hayo sna snuk jasho, wala mdomo na mm ni gentlemen haswa lakini katka uchunguz wangu nabain mabint weng wana maambukz ya bacteria maana nikiusugua ukuta wa K kwa ndan vzur nahs vpelevpele ambazo ndo wasababishia maamuz. NPENI USHAURI WAKUU
Au sio?
 
Back
Top Bottom