Nakuzimikia sana MBITIYAZA

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu

Kwakweli mimi huwa namzimikia sana huyu bidada single Mother anayejulikana kama mbiti yaza, nakupenda sana mbiti yaza, moyo wangu umekufa na umeoza juu yako

Naomba masela mnisaidie kumtag japo auone huu ujumbe special kwa ajili yake

Sina cha zaid na kingine kwako zaid ya kukukabiz moyo wangu uufanye utakavyo baby mbitiyaza

Mwaaaaaaaaaa


LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naskia ameolewa na kigogo

Na ana mtoto mkubwa kama ww
 
Sijaharibu mkuu nikikuwa naweka msisitizo ili asiwe mnyonge ajue niko tiar kwa lolote lile

Sent using Jamii Forums mobile app
Laiti ungejua unamtongoza bonge la mwanamke anayejua kila mbinu ya utongozaji ungemuingia kwa style mujarabu sio hii ya kitoto!
Subiri anakuja akupe za uso[emoji23] [emoji23]

DJ sepetu
 
Laiti ungejua unamtongoza bonge la mwanamke anayejua kila mbinu ya utongozaji ungemuingia kwa style mujarabu sio hii ya kitoto!
Subiri anakuja akupe za uso[emoji23] [emoji23]

DJ sepetu
Tabia za kike hizi mkuu, nadhani mwenye majibu ni MBITIYAZA sio wewe
Laiti ungejua unamtongoza bonge la mwanamke anayejua kila mbinu ya utongozaji ungemuingia kwa style mujarabu sio hii ya kitoto!
Subiri anakuja akupe za uso[emoji23] [emoji23]

DJ sepetu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…