Nalaila Kiula (1985-1995) Mbunge na Waziri wa Ujenzi akumbukwa

Nalaila Kiula (1985-1995) Mbunge na Waziri wa Ujenzi akumbukwa

mwanakidagu

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2012
Posts
208
Reaction score
78
Historia imehukumu.ikiwa imepita miaka takribani 16 hivi! WAZEE ,KINA MAMA NA VIJANA,WAMKUMBUKA NALAILA KIULA JIMBONI IRAMBA MAGHARIBI.

Wewe kijana sijui kama ulikuwa umezaliwa,tulikuwa na maji,kata upepo zilikuwepo ,pale Lyungilo ,Kyengege maji yalikuwa ya bomba mwanangu hatukuwa na shida wakati ule sasa huyu aliyepo na waliomtangulia yaani mh Shango (1995-2005),mh.Kilimba (2005-2010)na mh Lameck Madelu alimaarufu Mwigulu Nchemba(2010-2015).

Alisema mzee Shani katika kitongoji cha London kijiji cha Mugundu ,kata ya Kyengege. Tunamkumbuka huyo mbunge Kiula alikuwa na busara, mpole na msikivu. Huyu Mwigulu tunasikia magazeti yanasema mara katukana, mara ugoni na wake za watu akimaanisha kule Igunga hajaleta maji hapa shida tupu.

Wewe ukienda huko mjini alipo (dar) mwambie wazee wako tunashida ya maji.
 
Sasa Nalaila Kiula mnamkumbuka kwa lipi?
Jamaa noma yule alikuwa hana msaada kwa tatizo lolote.
 
Mwanakidagu habari zako? Vipi mzee Shani wa London yupo? Na pale kwa Kilongozi na kwa Mzee Nasola si kulikuwa na bomba la maji? Limeishia wapi? Lile tenki la pale Manga karibu na kwa marehemu Sha Mbuli linafanya kazi? Songela zigi zigi!
 
Huyu anaefananisha CCM ya Majambazi na Yesu na Mtume? ana akili kweli huyu?
 
Maayu watu wa London na Mugundu kwa ujumla tuna haki ya kumkumbuka Nalaila Kiula kwani kipindi chake barabara zilikuwa kama mapalio ya ng'ombe lakini maji yalikuwa yanatiririka kila kona tukianzi lungilo ulitoka kwenye kata upepo ukienda karibu na kwa Kingu Ntalo kulikuwa na bomba,kwa Mpondo,karibu na kwa Fabiano,kwenye dipu,shule ya msingi mabomba mawili,kwa Ugula na maeneo ya tyandu mabomba yalikuwa mengi sasa hivi kuna visima maarufu kwa jina la mdundiko foleni kubwa maana vinahudumia mugundu, Kyengege,Makunda na kitukutu.Mwisho
nahitimisha na ombi kwa mbunge Lameki Madelu achia ngazi umeshindwa
 
Maayu watu wa London na Mugundu kwa ujumla tuna haki ya kumkumbuka Nalaila Kiula kwani kipindi chake barabara zilikuwa kama mapalio ya ng'ombe lakini maji yalikuwa yanatiririka kila kona tukianzi lungilo ulitoka kwenye kata upepo ukienda karibu na kwa Kingu Ntalo kulikuwa na bomba,kwa Mpondo,karibu na kwa Fabiano,kwenye dipu,shule ya msingi mabomba mawili,kwa Ugula na maeneo ya tyandu mabomba yalikuwa mengi sasa hivi kuna visima maarufu kwa jina la mdundiko foleni kubwa maana vinahudumia mugundu, Kyengege,Makunda na kitukutu.Mwisho
nahitimisha na ombi kwa mbunge Lameki Madelu achia ngazi umeshindwa

Linganisha utendaji wa Lameki Madelu na Nalaila Kiula kwa Iramba yote kwa ujumla wake then uangalie na kuenea kwa utandawazi halafu uje na majibu mazuri, pia unaweza kuelezea na michango ya wabunge wengine kama Juma Kilimba na Leornard Shango
 
Nawashukuru kwa kuwa mnamwita kwa jina lake halis la Lameck Madelu badala ya lile la kurudia la Mwigulu Nchemba,Asanteni sana antua!
 
nalalila kiula namkumbuka alinunua gari la serikali landorver kwa elf 55 miaka ya 90 akadai taratibu zote za manunuzi zilifatwa na akapelekea vielelezo mahakamani, pia namkumbuka ktk ile kesi ya ujenzi wa barabara na yule muhindi saggaf kama sikosei alivyoisababishia serikali mabirioni ya shiring kumtukuza huyu jamaa nadhan unaitaj uwe unatokea mars!!!
 
Linganisha utendaji wa Lameki Madelu na Nalaila Kiula kwa Iramba yote kwa ujumla wake then uangalie na kuenea kwa utandawazi halafu uje na majibu mazuri, pia unaweza kuelezea na michango ya wabunge wengine kama Juma Kilimba na Leornard Shango

Mwigulu kweli hafai lakini Nalaila mhhh kama sio mwigulu basi bora shetani apewe jimbo lenu kuliko Kiula
 
Back
Top Bottom