Naleta wateja kwenye biashara yako/company, unanipa commission

Naleta wateja kwenye biashara yako/company, unanipa commission

matheiavelini

Member
Joined
Jan 8, 2023
Posts
10
Reaction score
15
Nakusalimu Kwa unyenyekevu, na Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wako.

Ndugu Yangu Mimi ni kijana 27Yrs, Naishi kigamboni - Dar es salaam. Graduate wa Science in Education with ICT. Mbali na taaluma pia nimesoma course kadhaa za biashara mf. DIGITAL MARKETING.

Nimefanya kazi ya Mauzo Kwa kuzunguka na Gari ( dar es salaam na mikoa ya kusini) Kwa mwaka Mmoja mpaka January 2023 kampuni ilipofunga branch Kwa Tanzania..

Pia nimefanya project kadhaa Kwa online ( hasa Facebook+ Instagram) ,ikiwemo Mauzo ya vifaa vya ujenzi ambayo ilifanikiwa pakubwa.

Ndugu Yangu! Nikiacha hili la kusambaza CV,

Kuna hii ya Mauzo ikiwemo Digital Marketing, naiweza vizuri na nimeprove kwenye project nilizofanya pia naendelea kujifunza ....

Changamoto yangu kwasasa ni " BIDHAA YA KUUZA"

Kuna ugumu kidogo kufika dukan Kwa mtu na kumwambia nikuletee wateja unipe commission. Lakini kupitia wewe naweza kupata BIDHAA au huduma ambayo nitaiuza na kupokea commission.

Iwe nguo, electronics, vifaa vya ujenzi, vifaa vya nyumbani, huduma, spare n.k. Napenda kutumia mitandao( hasa Facebook na Instagram kupata wateja Kwa haraka.
Iwe wateja wa hapa Dar au Mikoani.

Najua: Copywriting na graphic design Kwa ajili ya kuandaa matangazo

Nina ujuzi wa kufunga Mauzo. Natumia Facebook business manager kutengeneza campaigns za Mauzo. Na Whatsapp Kukusanya list ya wateja. Najua unaweza kunisaidia au hata Kwa kunielekeza mahali fulani..

Najua unamajukumu mengi, lakini ukipata dakika 2 zinatosha kunisaidia.
Simu yangu + 255 757334796
 
Nakusalimu Kwa unyenyekevu, na Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wako.

Ndugu Yangu Mimi ni kijana 27Yrs, Naishi kigamboni - Dar es salaam. Graduate wa Science in Education with ICT. Mbali na taaluma pia nimesoma course kadhaa za biashara mf. DIGITAL MARKETING.

Nimefanya kazi ya Mauzo Kwa kuzunguka na Gari ( dar es salaam na mikoa ya kusini) Kwa mwaka Mmoja mpaka January 2023 kampuni ilipofunga branch Kwa Tanzania..

Pia nimefanya project kadhaa Kwa online ( hasa Facebook+ Instagram) ,ikiwemo Mauzo ya vifaa vya ujenzi ambayo ilifanikiwa pakubwa.

Ndugu Yangu! Nikiacha hili la kusambaza CV,

Kuna hii ya Mauzo ikiwemo Digital Marketing, naiweza vizuri na nimeprove kwenye project nilizofanya pia naendelea kujifunza ....

Changamoto yangu kwasasa ni " BIDHAA YA KUUZA"

Kuna ugumu kidogo kufika dukan Kwa mtu na kumwambia nikuletee wateja unipe commission. Lakini kupitia wewe naweza kupata BIDHAA au huduma ambayo nitaiuza na kupokea commission.

Iwe nguo, electronics, vifaa vya ujenzi, vifaa vya nyumbani, huduma, spare n.k. Napenda kutumia mitandao( hasa Facebook na Instagram kupata wateja Kwa haraka.
Iwe wateja wa hapa Dar au Mikoani.

Najua: Copywriting na graphic design Kwa ajili ya kuandaa matangazo

Nina ujuzi wa kufunga Mauzo. Natumia Facebook business manager kutengeneza campaigns za Mauzo. Na Whatsapp Kukusanya list ya wateja. Najua unaweza kunisaidia au hata Kwa kunielekeza mahali fulani..

Najua unamajukumu mengi, lakini ukipata dakika 2 zinatosha kunisaidia.
Simu yangu + 255 757334796
Hii affiliate marketing ina potential sana Tanzania ila bado watu hawajaamka kuikimbilia hii fursa.
 
Mimi kijana/mpambanaji mwenzako na ni graduate pia nafanya biashara za kuuza slimming products (dawa za kupunguza vitambi, uzito na unene na nyenginezo) lakini sina ofisi nafanya delivery Kwa mteja ndo analipa. Kama upo willing unaweza kunicheki nikakupa maelekezo ya bidhaa hizo na picha za bidhaa ukatafuta wateja na tutakuwa tunagawana faida.
1057269921.jpg
 
Una idea nzuri na ubunifu sana kijana utafika mbali.
Nyinyi ndio aina ya vijana tunaowahitaji kwenye Taifa hili na sio kila siku kulalamika hakuna ajira.
Binafsi nitakuwa nakupa tenders in future,for now just nicheki pm ili tukumbukane inapotokea dili
 
Nakusalimu Kwa unyenyekevu, na Kumshukuru Mungu Kwa Uwepo Wako.

Ndugu Yangu Mimi ni kijana 27Yrs, Naishi kigamboni - Dar es salaam. Graduate wa Science in Education with ICT. Mbali na taaluma pia nimesoma course kadhaa za biashara mf. DIGITAL MARKETING.

Nimefanya kazi ya Mauzo Kwa kuzunguka na Gari ( dar es salaam na mikoa ya kusini) Kwa mwaka Mmoja mpaka January 2023 kampuni ilipofunga branch Kwa Tanzania..

Pia nimefanya project kadhaa Kwa online ( hasa Facebook+ Instagram) ,ikiwemo Mauzo ya vifaa vya ujenzi ambayo ilifanikiwa pakubwa.

Ndugu Yangu! Nikiacha hili la kusambaza CV,

Kuna hii ya Mauzo ikiwemo Digital Marketing, naiweza vizuri na nimeprove kwenye project nilizofanya pia naendelea kujifunza ....

Changamoto yangu kwasasa ni " BIDHAA YA KUUZA"

Kuna ugumu kidogo kufika dukan Kwa mtu na kumwambia nikuletee wateja unipe commission. Lakini kupitia wewe naweza kupata BIDHAA au huduma ambayo nitaiuza na kupokea commission.

Iwe nguo, electronics, vifaa vya ujenzi, vifaa vya nyumbani, huduma, spare n.k. Napenda kutumia mitandao( hasa Facebook na Instagram kupata wateja Kwa haraka.
Iwe wateja wa hapa Dar au Mikoani.

Najua: Copywriting na graphic design Kwa ajili ya kuandaa matangazo

Nina ujuzi wa kufunga Mauzo. Natumia Facebook business manager kutengeneza campaigns za Mauzo. Na Whatsapp Kukusanya list ya wateja. Najua unaweza kunisaidia au hata Kwa kunielekeza mahali fulani..

Najua unamajukumu mengi, lakini ukipata dakika 2 zinatosha kunisaidia.
Simu yangu + 255 757334796
Vijana kama nyie Ndio mnahitajika kwenye Biashara za Karne hii
Mtu yeyote anayeongelea Malipo baada ya kazi Ana uhakika na kile anasema
 
Back
Top Bottom