Matukio yanayonihuzunisha
1.wanapiga makonda mpaka wanawapa vilema
2.mwalimu akizingua wanamchapa kama mtoto mdogo
3.yani shule wanaingia saa 4
kuhusu taaluma
1.kufaulu 1 kati ya 120
2.mwanafunz mwaka mzima kasoma page 2
3.mwalimu 1 yani kiraka kila somo yumo
natanguliza shukurani za dhati twende sasa