mimi nilipigiwa simu 14dec, niende kuripoti tar 28dec, lakini nikashindwa sababu tayari nimekamata kasehemu kupata ka'mkate. its amazing kazi uliapply miaka 2 iliyopita zikianza kumiminika mpk unachagua? cjui miaka yote ukiwa kitaa zilikuwa wapi?
kwa hivyo ndugu padiri, naweza kukuhakikishia mwaka huu wameshaenda, unless kama upate bahati ya mwana jf uku mwenye kitengo pale akuweke nafasi za walioshindwa kuripoti itakuwa msaada mzuri kwako.
vinginevyo uwe msomaji mzuri magazeti na mtandao nafasi za kazi km jf! wakitangaza utakuwa wa kwanza kujua.
goodluck.