John Chazy
Member
- Jul 30, 2014
- 14
- 2
Hodiii........
wenyewe mpo?au hawapo niondoke....
Tupoooo.....
Karibu sana John Chazy......Sijui unatumia kinywaji gani...kuna juisi ya pilipili na nyongo ya mamba...
Mpatie kile kinywaji unachopendelea sana.
Itakuwa Juisi ya nyongo ya mamba..
Haya mgeni karibu juisi ya nyongo ya mamba.
Tupoooo.....
Karibu sana John Chazy......Sijui unatumia kinywaji gani...kuna juisi ya pilipili na nyongo ya mamba...
Karibu sana JF...
karibu sana jf
Asante sana, katavi.Karibu sana jamvini
Itakuwa Juisi ya nyongo ya mamba..
Hatupooooo
Asanteni kwa ukaribisho mnaonekana MNA MOYO mzuri saana humu JF,Ila hiyo juice ndiyo Noma!Hamna juice ya Asari jama?
Karibu JF