Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
ROI ihusike hapo.Hisa za NMB uliwekeza shilingi ngapi na hisa za CRDB uliwekeza shilingi ngapi kabala ya kuanza kuweka mlinganisho wa gawio?
sijui inahitaji elimu au common sense tu kuwa ukiwekeza hela nyingi faida inakuwa kubwa na ukiwekeza hela kidogo faida ni kidogo,Sio kila mtu ana elimu katika masuala ya Hisa mkuu.
Cha muhimu ilikuwa ni kumpa elimu ambayo itamsaidia katika suala zima na baadae.
Kuna watu huwa wananunua Hisa ili nae akikaa kwenye Viti virefu aweze kujitamba kwamba ana Hisa za kampuni fulani, Ila kiuhalisia hata mwenendo wa kampuni husika haujui.
Common Sense is not so Common at some folks. Elimu ndio suala la msingi.sijui inahitaji elimu au common sense tu kuwa ukiwekeza hela nyingi faida inakuwa kubwa na ukiwekeza hela kidogo faida ni kidogo,
hisa moja ya NMB ina thamani zaidi ya mara 10 ya hisa ya CRDB, hivyo kwa hisa sawa amewekeza NMB kiasi cha hela mara 10 zaidi ya CRDB kisha anauliza
Tukubali tu jamani CRDB wamekuwa wezi yaani kimei anatangaza faida ya 108b kakin kagawio kanakuwa kiduchumkuu Annual General Meetings unazifatiliaga?ila sijui imekuaje mpaka wenzako pale AICC wakakubali kupewa sh 10 kwa hisa na Bwana Kimei.
ACHA UPPUUZI HUJUI NMB NI YA MACCM NA CRDB NI YANAMAGEUZI. KAMA WEWE NI UPINZANI FATA UPEPO BASI ONDOKA CRDB KWANI WAPAMBANAJI TUTABAKI HUKUHUKU
mheshimiwa Koryo, kwa kweli CRDB hawana adabu. mimi ni mmoja ya walioathirika na vituko vyao!Mimi ninayo hisa 3500 katika CRDB na hisa 3500 ktika NMB. Leo nimepata taarifa kwenye simu ya ngu kuwa nimepata Tshs. 565,000 kama Gawio toka NMB lakini hisa hizo hizo kutoka CRDB nitapata Tshs.35,000. Naomba sana mnielekeze utaratibu wa kuuza hisa zangu za CRDB kwa sababu naona kama CRDB hawana nia na Wanahisa wao.
Acha kupotosha wewe usitake kuitetea CRDB kwa kutumia Mgongo wa wanamageuzi.Benki kama inanyonya watu wake Haina umuhimu wa kuendelea kuitumiaACHA UPPUUZI HUJUI NMB NI YA MACCM NA CRDB NI YANAMAGEUZI. KAMA WEWE NI UPINZANI FATA UPEPO BASI ONDOKA CRDB KWANI WAPAMBANAJI TUTABAKI HUKUHUKU
Kweli aiseeUkiona Hisa hazifanyi vizuri uza nunu kwingine au ongeza NMB.
Jamaa anahesabu idadi ya hisa baadala ya kuangalia thamani ya uwekezaji (thamani ya hisa). Anachekesha kweli kweli huyu jamaa. Ni vipi uwekezaji wenye thamani ya 20M Utafanana return na uwekezaji wa 2M kwenye biashara aina ile ile na mazingira yaleyale!!!!!Huyu jamaa nina wasiwasi kama ana hizo hisa kweli, maana mtu huwezi kutegemea return sawa kwenye uwekezaji wa viwango tofauti, hisa za NMB zilikuwa zikuzwa 4000 kipindi flani wakati hisa za CRDB zilikuwa zikiuzwa 400, obviously kwa idadi sawa ya hisa , uwekezaji wa NMB ndio utakuwa mkubwa zaidi ya wa CRDB na hivyo hata gawio la NMB litakuwa kubwa pia, huyu jamaa hajui hilo??
Wasiliana na Orbit securities wako posta dsm jengo la Golden jubilee gorofa ya nne.Wataziuza mkuu.Nenda ofisi za CRDB zilizo karibu nawe hapa hakuna ofisi Mkuu. Hapa siasa tu
Bora ya sasa kuliko tulipotoka ambako kulikuwa na uwongo uwongo mwingi sana. Kiasi kwamba wajanja wajanja walikuwa wanagawana pesa za watu bila aibu yoyote ileHahaha
Ni kweli kk
Ila Mara nyingi uwekezaji wa hisa tunaangalia kupanda kwa thamani ya hisa ndo inalipa sema huu mwaka hisa zimenyewa,hazipandi Bali zinazidi kushuka tu yaani ni majanga
Nchi ya vi wonder tehtehteh
Kweli mkuuBora ya sasa kuliko tulipotoka ambako kulikuwa na uwongo uwongo mwingi sana. Kiasi kwamba wajanja wajanja walikuwa wanagawana pesa za watu bila aibu yoyote ile