Nalipwa 500,000/=(laki tano) kwa mwezi, unanishauri niwekeze wapi?

Nalipwa 500,000/=(laki tano) kwa mwezi, unanishauri niwekeze wapi?

MOSHI UFUNDI

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2022
Posts
526
Reaction score
1,222
Asalaam wakuu.

KUfupisha uzi.

Kwasasa kuna mahali nafanya kazi nalipwa laki 5, ila kazi inanichukulia muda mwingi sana. Ingawa nakula bure , na nalala bure(vyote nimepewa na ofisi yangu).

Umri wangu 20's.

Naomba ushauri niwekeze pesa yangu wapi ili niongeze kipato changu.

Mwanzo niliwaza nijichange ninunue pikipiki ya boda nimpe mtu aniletee hesabu , sijui kwenu imekaaje hii?

Naombeni ushauri wenye manufaa wakuu.
 
Asalaam wakuu.

KUfupisha uzi.

Kwasasa kuna mahali nafanya kazi nalipwa laki 5, ila kazi inanichukulia muda mwingi sana. Ingawa nakula bure , na nalala bure(vyote nimepewa na ofisi yangu).

Umri wangu 20's.

Naomba ushauri niwekeze pesa yangu wapi ili niongeze kipato changu.

Mwanzo niliwaza nijichange ninunue pikipiki ya boda nimpe mtu aniletee hesabu , sijui kwenu imekaaje hii?

Naombeni ushauri wenye manufaa wakuu.
Uwe unasuka mikeka,
Ukipata odds zako 2 tayari una 1Mil
 
Asalaam wakuu.

KUfupisha uzi.

Kwasasa kuna mahali nafanya kazi nalipwa laki 5, ila kazi inanichukulia muda mwingi sana. Ingawa nakula bure , na nalala bure(vyote nimepewa na ofisi yangu).

Umri wangu 20's.

Naomba ushauri niwekeze pesa yangu wapi ili niongeze kipato changu.

Mwanzo niliwaza nijichange ninunue pikipiki ya boda nimpe mtu aniletee hesabu , sijui kwenu imekaaje hii?

Naombeni ushauri wenye manufaa wakuu.
laki 5 nenda UTTAMIS tu, kawekeze kwenye hio mifuko ya kijamii, ukisema uweke kwenye biashara utapoteza sababu huna muda wa kusimamia hio biashara
 
Back
Top Bottom