Sasa avae kifala fala ili usijae kwenye mufumo π π π mwizi inabidi awe smart hata ungekuwa weweeWatu wana hadi suti za kufanyia wiziπππ
Kwann huna amaniMimi sina amani mkuu kichwa kinalazimisha nilale mambo yapo zigzag
PamojaKaribu sana, mtajwa hapo juu
Ndo Ivo kaka lazima ikomae na hapa Bado vita Bado mbichiHata sielewi mkuu, nahisi nipo kwenye stage ya ukomavu wa akili, zinakimazwa na majukumu π
Mweeeh πHappy new year mkuu raraa reree
Like zako ziishi mpaka kufa kwa JF
Asante mkuuHapana mkuu, nilikuwa natoa shukurani za dhati kwa baadhi ya member ninaowafahamu, wakiwawakiliasha wengine...
Weweeeh umeangalia wapiiiNgoja tuone mwaka mzuri kwa kuuangalia lakini
Weee me naona kama unakuja umekunja ndita nataka nijipange vizuri dadekiC namba mkuu namba sio tasa hiyo π 2025
Aaah me sio mtu wa mademu πππππHahaa, naskia mwaka hautaki masuala ya madem, kufilisika dakika 0
Picha za Uzi wa jambazi hahahahaha π€ π€ π€ zina MamboKwa hizo picha utatafuta tuu π