Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 410
- 705
Transport between Kenya and Tanzania paralysed as motorists block Namanga-Nairobi road over alleged harassment by Tanzanian police.
Source. Citizentv
Source. Citizentv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliona Sukari ya Kakira sugar(Uganda) ilirudishwa UG eti lazima walipe 25% duty hakuna cha EAC shiet.
Nchi yenu imesota, SGR imekaza vyuma, Bank M imefungwa, deni la nchi limeongezeka maradufu so lazima mjaribu juu chini kuzuia wengine waendelee kiuchumi kwa kutumia njia za kipuzi kama hizo...Uganda watawapita hivi karibuni kiuchumi hata kwa upungufu wao wa kukosa bahari.wewe ulijua kila kitu ni bure
Nchi yenu imesota, SGR imekaza vyuma, Bank M imefungwa, deni la nchi limeongezeka maradufu so lazima mjaribu juu chini kuzuia wengine waendelee kiuchumi kwa kutumia njia za kipuzi kama hizo...Uganda watawapita hivi karibuni kiuchumi hata kwa upungufu wao wa kukosa bahari.
Ugandan Highways
![]()
![]()
Mineral Rich Tanzanian Highways
![]()
![]()
umeanza kuwa kichaa sio bure sibishani na wewe
![]()
Nchi yenu imesota, SGR imekaza vyuma, Bank M imefungwa, deni la nchi limeongezeka maradufu so lazima mjaribu juu chini kuzuia wengine waendelee kiuchumi kwa kutumia njia za kipuzi kama hizo...Uganda watawapita hivi karibuni kiuchumi hata kwa upungufu wao wa kukosa bahari.
Ugandan Highways
![]()
![]()
Mineral Rich Tanzanian Highways
![]()
![]()
![]()
Ni mpuuzi tu ndio atalinganisha Ring Road and Truck Road.Nchi yenu imesota, SGR imekaza vyuma, Bank M imefungwa, deni la nchi limeongezeka maradufu so lazima mjaribu juu chini kuzuia wengine waendelee kiuchumi kwa kutumia njia za kipuzi kama hizo...Uganda watawapita hivi karibuni kiuchumi hata kwa upungufu wao wa kukosa bahari.
Ugandan Highways
![]()
![]()
Mineral Rich Tanzanian Highways
![]()
![]()
![]()