Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Sura yahusikaje, mzeee. Urais unataka mtu handsome, eeh??Ni kagombea Urais haka? Mbona kana sura ngumu kama ya Mh. Diwani wa Kata yangu ya Mavurunza?
Kumbe fomunsio moja kama walivyo fanya chama fulani?
Kumbe wino uliisha kwenye kutayarisha za wale wa kumpinga Baba la Baba ndani ya chama tuu?Acha kukurupuka mkuu,kachukua fomu NEC sio ndani ya chama. CDM wana kazi kubwa kuelimisha watu wao daah
Kwa waislamu ni rahisi sana kufanana majina... maana wao SURNAMES ni sawa tu na first name... Hali hii ipo kw wakristu pia lakini si kwa ukubwa ulioko kwa waislamu... wengi hawatumii SURNAMES za kibantu...Duniani wawili wawili.