Zanzibar 2020 Namba 1 na Namba 2: Mbwana Juma Bakari na Ali Abeid Karume wamefungua dimba la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM

Zanzibar 2020 Namba 1 na Namba 2: Mbwana Juma Bakari na Ali Abeid Karume wamefungua dimba la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532


Zoezi la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ule wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao limeanza hii leo.

Habari kutoka Zanzibar zinaeleza kuwa tayari Mbwana Juma Bakari na Ali Abeid Karume wamefungua dimba la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM.

4D4008C0-4E37-4144-8C1D-EE0BC3759ACC.jpeg

AE0165CC-A4BA-4103-80AB-BEE1B8CBA3F1.jpeg


Zoezi hilo litakamilika Juni 30, 2020 ambapo kwa upande wa Bara fomu zinatolewa katika ofisi za CCM Makao Makuu, Dodoma na kwa upande wa Zanzibar fomu hizo zinatolewa katika ofisi kuu za CCM Kisiwandui.

Chama cha Mapinduzi kilitangaza rasmi utaratibu wa kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia leo juni 15 na mwisho wa kurejesha fomu hizo ni Juni 30, 2020 saa 10:00 jioni.
 
Zoezi la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ule wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao limeanza hii leo

Habari kutoka Zanzibar zinaeleza kuwa tayari Mbwana Juma Bakari na Ali Abeid Karume wamefungua dimba la kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM

Zoezi hilo litakamilika Juni 30, 2020 ambapo kwa upande wa Bara fomu zinatolewa katika ofisi za CCM Makao Makuu, Dodoma na kwa upande wa Zanzibar fomu hizo zinatolewa katika ofisi kuu za CCM Kisiwandui

Chama cha Mapinduzi kilitangaza rasmi utaratibu wa kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea wa nafasi ya Urais wa Zanzibar na wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia leo juni 15 na mwisho wa kurejesha fomu hizo ni Juni 30, 2020 saa 10:00 jioni.
Wanajisumbua, jina analo Jiwe mfukoni!
 
Huyo Karume hata aibu tu hana?

Baba,kaka na yeye bado anautaka?

Si amuandae hata mwanae tu walau.

Karume ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kama Mzanzibar yeyote yule na kama anazo sifa stahiki kwanini aache kujaza fomu?
 
Back
Top Bottom