mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Mbarawa ndiye mtu sahihi ili kuondokana na utwala wa kifalme!Prof hawezi kuwa Rais wa Zanzibar kwa sababu kuu mbili:
1.Huyu ni mpemba kutoka mkanyageni hawawezi kuingia ikulu wapemba wawili kwa kufuatana haiwezekani katu asilani wahafidhina wa unguja wakakubali hili(Rejea mwaka 1985 wakati wanamtafuta mrithi wa mwinyi urais wa Zanzibar, waunguja wahafidhina walikataa kata kata Dr. Salim kuwa Rais kwa kigezo cha upemba wake na Rais Julius Nyerere akashindwa kumfanya kipenzi chake Dr. Salim kuwa rais...
Unaweza ukatoa sababu.Huyu ndie chaguo langu.. Ana faa kuwa rais wa Zanzibar.. Twende na Mh Mbarawa
CCM tuna demokrasia bwana. Ni marufuku mtu mwingine kuchukua fomu kumpinga Mh. JPM. Atakae jaribu tutamshughulikiaHivi bara bado aliyechukua fomu ni mmoja tu?
Nita kupa sababu wakati ukifika..Unaweza ukatoa sababu.
Dr mwinyi znz 2020Prof hawezi kuwa Rais wa Zanzibar kwa sababu kuu mbili:
1.Huyu ni mpemba kutoka mkanyageni hawawezi kuingia ikulu wapemba wawili kwa kufuatana haiwezekani katu asilani wahafidhina wa unguja wakakubali hili(Rejea mwaka 1985 wakati wanamtafuta mrithi wa mwinyi urais wa Zanzibar, waunguja wahafidhina walikataa kata kata Dr. Salim kuwa Rais kwa kigezo cha upemba wake na Rais Julius Nyerere akashindwa kumfanya kipenzi chake Dr. Salim kuwa rais...
Hii nchi siyo ya kifalme na hakuna mambo ya babake kuwa Rais haimaanishi na yeye lazima awe Rais.Prof hawezi kuwa Rais wa Zanzibar kwa sababu kuu mbili:
1.Huyu ni mpemba kutoka mkanyageni hawawezi kuingia ikulu wapemba wawili kwa kufuatana haiwezekani katu asilani wahafidhina wa unguja wakakubali hili(Rejea mwaka 1985 wakati wanamtafuta mrithi wa mwinyi urais wa Zanzibar, waunguja wahafidhina walikataa kata kata Dr. Salim kuwa Rais kwa kigezo cha upemba wake na Rais Julius Nyerere akashindwa kumfanya kipenzi chake Dr. Salim kuwa rais..
Wengi sanaHivi bara bado aliyechukua fomu ni mmoja tu?
Wangoni ni Mbawala na sio Mbarawa mkuuMbarawa ni mngoni ?
Asante kwa masahihishoWangoni ni Mbawala na sio Mbarawa mkuu
Hata akiwa Makonda yote sawaProfesa makame mbarawa ndie atakaepeperusha bendera ya CCM zanzibar 2020
Ilijizika yenyewe kwa ujinga wakeHivi Cuf imezikwa Zanzibar?
Duuh . . . sio kwamba huu mpango ulikuwa umezimwa?Dr. Mwinyi ameandaliwa kwa muda mrefu kuja kuwa rais wa Zanzibar na kisha bara na hakika sasa ameiva kwa kuchukua mkoba huu.