Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mwanaccmNi nani huko Z'bar?
kiaje sasa?mtoto wa karume alisema kama baba yako hajulikani, huwezi kuwa Rais wa zanzibar
siku anachukua fomu ndio maneno aliyosema, sasa kuhusu alimaanisha nini hata mimi sijuikiaje sasa?
[emoji3][emoji3],naona kavaa Pete ya viatuni mwanaccm
Bonge la mbaulaMwantum Mussa Sultan ni mwanamke wa kwanza na ni wa 11 kujitokeza kuja kuchukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar
View attachment 1483164
Siku ile wakati anatoa neno LA shukrani alionesha yuko upande uleeeee wa mawingu meupe, hivyo isingekuwa rahisYupo wapi yule aliyeingia ulingoni na Magufuli na Dr Migiro? Balozi Amina Ally, huyu hata kwa kumuangalia alikuwa na sura ya Urais yaani Presidential look. Nilijua angekuwa Makamu Rais lakini wapi. Sijui kwanini walimpotezea?
Mbaula maana yake nini?Bonge la mbaula
AiseeSiku ile wakati anatoa neno LA shukrani alionesha yuko upande uleeeee wa mawingu meupe, hivyo isingekuwa rahis
Mgombea urais wa ajabu utafikiri anagombea udiwaniMwantum Mussa Sultan ni mwanamke wa kwanza na ni wa 11 kujitokeza kuja kuchukua fomu ya kuwania urais wa Zanzibar
View attachment 1483164
Sana!....ukute nduguAnafanana na Wangari Maathai!
Wanja wa wiki nzima kama Ebitoke!!
Fiat zile za kizamani kabisa.Mbaula maana yake nini?