1M!Hivi hizo fomu ni bei gani
Haji Rahid Pandu amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Ni mgombea wa 12 kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar
Hivi hizo fomu ni bei gani
Hivi aliyekuwa msimamizi wa tume ya uchaguzi zanzibar 2015 alikuwa anaitwa nani?Haji Rahid Pandu amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi. Ni mgombea wa 12 kuchukua fomu za kuwania Urais wa Zanzibar
Jecha.Hivi aliyekuwa msimamizi wa tume ya uchaguzi zanzibar 2015 alikuwa anaitwa nani?
Wako wengi tuu, unamwonaje makamu wa pili wa rais? Kama banyamulenge vile.Mbona huyu anasura ya kitanganyika!!?
tena sura ya kinyamwezi kabisaa.
Jecha jechaHivi aliyekuwa msimamizi wa tume ya uchaguzi zanzibar 2015 alikuwa anaitwa nani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Wako wengi tuu, unamwonaje makamu wa pili wa rais? Kama banyamulenge vile.