Hizo tunaita pasi fisi, tangulia naja.Jana kulikuwa na uzi humu ukiuliza mbona Masauni hachukui fomu, Sijui ni yeye mwenyewe alikuwa anajipigia pande.[emoji848][emoji848]
watu wanawekwa sawa kisaikolojia... wote mnahamishiwa visiwani... macho yote visiwaniZanzibar Urais itakua purukushani.
Tukiamka vibaya inakuwaje?Hussein mwinyi ndiyo Rais
Over
Ni Mimi niliuliza mods wakafyekelea mbali. Namkubali huyu Mheshimiwa na ndiye Rais ajaye Zanzibar. Mtanikumbuka!!Jana kulikuwa na uzi humu ukiuliza mbona Masauni hachukui fomu, Sijui ni yeye mwenyewe alikuwa anajipigia pande.[emoji848][emoji848]
ulishaga mtafuna?Usalama wa taifa na vidole juu
Hee! Usalama wa taifa wengine wanavalishwa pampers kwa usalama wao?
Eti huyu ni mtoto si rizki?
Mimi sifanyi huo mchezo , nasikia ana wenyewe huyoulishaga mtafuna?
Mimi sifanyi huo mchezo , nasikia ana wenyewe huyo