Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mgombea Namba 21: Ni Bakar Rashid Bakar ni miongoni mwa wagombea wa kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VP unataka aache kugombea U VP wa Tanzania aende kugombea urais wa Zanzibar?Kwanini wanawake wa kizanzibar hawachukui form za kugombea.
Mtu kama VP anakwama wapi?
Mtu kama Zakhia Meghi anakwama wapi ?
Mtu kama Fatuma Salum anakwama wapi ?
VP safari hii hapewi tena U VpVP unataka aache kugombea U VP wa Tanzania aende kugombea urais wa Zanzibar?
Zakia Meghji bado hajastaafu siasa tu?
Amina Salum Ali tangu aondoke ubalozi wa AU Marekani hata hasikiki, labda kashausoma upepo.
Zenji nchi ya kiislamu wanawake ngumu sanaKwanini wanawake wa kizanzibar hawachukui form za kugombea.
Mtu kama VP anakwama wapi?
Mtu kama Zakhia Meghi anakwama wapi ?
Mtu kama Fatuma Salum anakwama wapi ?
Habari hizi umezitoa wapi? Zimetangazwa wapi? Tunazitenganisha vipi na uzushi usio na ukweli?VP safari hii hapewi tena U Vp
Alishatumika 2015 ili kuwin kura za wakina mama, hahitajiki tena kipindi maana kinachotumika msimu huu ni mabavu sio ushawishi wa hoja
Cheki wanja huoKwanini wanawake wa kizanzibar hawachukui form za kugombea.
Mtu kama VP anakwama wapi?
Mtu kama Zakhia Meghi anakwama wapi?
Mtu kama Fatuma Salum anakwama wapi?
Huyo mzanzibar wa wapi. Mbona she look so primitive and ...Cheki wanja huoView attachment 1486062
Ha ha ha huyo ni mnyamwezi. Babu zake ndio walihamiaga Unguja enzi hizo.Huyo mzanzibar wa wapi. Mbona she look so primitive and ...
By the look of things we should expect those things to happenHabari hizi umezitoa wapi? Zimetangazwa wapi? Tunazitenganisha vipi na uzushi usio na ukweli?
Ila wazanzibar wengine washamba kinyama yaani. Wapo wanaodhani Tanganyika nzima kuna wanyamwezi tupu.Ha ha ha huyo ni mnyamwezi. Babu zake ndio walihamiaga Unguja enzi hizo.
Kama sisi tunavofikiria Zanzibar nzima kuna Wapemba tu. Tukipelekwa Forodhani tunaona kama tuko Dubai!Ila wazanzibar wengine washamba kinyama yaani. Wapo wanaodhani Tanganyika nzima kuna wanyamwezi tupu.
Wengine ukiwaleta kama Dsm wanahisi wapo New York [emoji3]
Mbona hujamtaja Fatuma KarumeKwanini wanawake wa kizanzibar hawachukui form za kugombea.
Mtu kama VP anakwama wapi?
Mtu kama Zakhia Meghi anakwama wapi?
Mtu kama Fatuma Salum anakwama wapi?
Wewe utakuwa mlugaluga. Zanzibar huwa naenda peke yangu halafu nakatiza kila chocho n a wala sijawahi kuwaza kishamba kama unavyowazaKama sisi tunavofikiria Zanzibar nzima kuna Wapemba tu. Tukipelekwa Forodhani tunaona kama tuko Dubai!
Mtaje weweMbona hujamtaja Fatuma Karume
jamani hiyo mikoba ipo ya kutosha kesho nawaleta wagombea wengine watanoMgombea Namba 21: Ni Bakar Rashid Bakar ni miongoni mwa wagombea wa kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
View attachment 1485951
Kama huwazi kishamba kwa nini na wewe ukawawazia kishamba shamba? Hivyo Dar kweli ufikirie kama ni New York? Unajuwa kama wao walikuwa na kituo cha TV zaidi ya miaka 20 kabla ya Tanganyika? Unajuwa kuwa Zanzibar ni nchi ya mwanzo East & Central Africa kuwa na Traffic lights na Electric Elevator? Unajuwa pia kama wao ni wa mwanzo kuchapisha newspaper kwa nchi hizo tajwa hapo juu? Itakuwa unaenda Zanzibar kusindikiza wafanyakazi wa ndani kutoka Tanganyika tu wewe!Wewe utakuwa mlugaluga. Zanzibar huwa naenda peke yangu halafu nakatiza kila chocho n a wala sijawahi kuwaza kishamba kama unavyowaza
Kizazi cha sasa ndio wanaamini wakifika Dsm ni kama wamefika NY. Vilevile wengi wanaamini bado wapo kwenye utawala wa kikoloni/kiimlaKama huwazi kishamba kwa nini na wewe ukawazia kishamba shamba? Hivyo Dar kweli ufikirie kama ni New York? Unajuwa kama wao walikuwa na kituo cha TV zaidi ya miaka 20 kabla ya Tanganyika? Unajuwa kuwa Zanzibar ni nchi ya mwanzo East & Central Africa kuwa na Traffic lights na Electric Elevator? Unajuwa pia kama wao ni wa mwanzo kuchapisha newspaper kwa nchi hizo tajwa hapo juu? Itakuwa unaenda Zanzibar kusindikiza wafanyakazi wa ndani kutoka tu wewe!