Fujo wagombea 28 tu kati ya watu million sijui mbona naona watia nia wachache sanahata kama ni demokrasi sio kihivi,hizi ni fujo.
Siyo fujo, wanachangia chama Sasa CCM Zanzibar Wana 28 million, wakifuatiwa na chadema Wana 11 (sijui wao bei ya fomu), CCM bara 1 million, wengine zero.hata kama ni demokrasi sio kihivi,hizi ni fujo.
Ingawa umechanganya herufi kubwa na ndogo lakini nimeelewa.Acha umbea maana ya demokrasia UNAIJUA WW had wanaingiza tsh. 1m Kila mmoja na Ni za chama ubaya uko wapi?
Wacha chama chetu kikusanye hizo milioni- milioni..hata kama ni demokrasi sio kihivi,hizi ni fujo.
pamoja sanaWacha chama chetu kikusanye hizo milioni- milioni..