Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mgombea Namba 31: Mgeni Hassan Juma amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar. Alikuwa ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi zanzibar.
Bi. Mgeni amekuwa ni mwanamke wa nne kuchukua fomu hiyo jijini Zanzibar.
Bi. Mgeni amekuwa ni mwanamke wa nne kuchukua fomu hiyo jijini Zanzibar.