Zanzibar 2020 Namba 31: Mgeni Hassan Juma, achukua Fomu ya kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM

Wanaplay game hao washenzi, kila kitu wameshapanga, na police wako tayari kwa lolote, pesa za misaada zimetumika sana kuandaa nguvu ya askari kwa gharama yoyote
 
Dr Bashiru kwani yeye nani ? Akikwazika arudi akafundishe hii ndio demokrasia
 
Kama wanavyo play Chadema,wakati mpango mzima wa atakaegombea unajulikana
Wanaplay game hao washenzi, kila kitu wameshapanga, na police wako taari kwa lolote, pesa za misaada zimetumika sana kuandaa nguvu ya askari kwa gharama yoyote
 
Namba za bahati ni 1, 3, 7, 10, 12, 23 na 40 ila 40 hawajafika. Ktk namba hizo mgombea atatokea hapo na sio kwingineko. Mnawakumbuka wenye namba hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…