Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Apasuke tuHawajui tu kuwa wanamkwaza Dr. Bashiru jinsi wanavyoendelea kuchukua form [emoji1787]
Alisema wametumwa na mabeberuHawajui tu kuwa wanamkwaza Dr. Bashiru jinsi wanavyoendelea kuchukua form 🤣
Wanaplay game hao washenzi, kila kitu wameshapanga, na police wako taari kwa lolote, pesa za misaada zimetumika sana kuandaa nguvu ya askari kwa gharama yoyote
Sijawahi kuona ccm ikiwa na katibu mkuu duni kama Bashiru Ally !Dr Bashiru kwani yeye nani ? Akikwazika arudi akafundishe hii ndio demokrasia
Watafika 40Mgombea Namba 31: Mgeni Hassan Juma amechukua fomu ya kuwania Urais wa Zanzibar. Alikuwa ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi zanzibar.
Bi. Mgeni amekuwa ni mwanamke wa nne kuchukua fomu hiyo jijini Zanzibar.
Mwambien Bashiru aache shobo za kikeHawajui tu kuwa wanamkwaza Dr. Bashiru jinsi wanavyoendelea kuchukua form 🤣
Nafikir alipokuwa mwananfuzi UDSM alikuwa cramer mzuri lakn akili ni butu. anashindwa kuona the big picture ya siaa za tanzania.Sijawahi kuona ccm ikiwa na katibu mkuu duni kama Bashiru Ally !