Zanzibar 2020 Namba 4: Omar Sheha Mussa achukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM

Zanzibar 2020 Namba 4: Omar Sheha Mussa achukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mwanachama mwengine wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Omar Sheha Mussa amechukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi ya uraisi wa Zanzibar kupitia tiketi ya chama hicho Mgombea huyo akiwa ni mgombea wa nne kuchukua fomu ya kugombea nafasi hio kutoka Chama Cha Mapinduzi Ccm Zanzibar.

Aliwahi kushika nafasi mbali mbali katika awamu zilizopita na anaona anataka kuleta mabadiliko kwenye uchumi kwa kuwa ndio sekta yake aliyoitumikia muda mrefu

photo_2020-06-17_13-33-46.jpg
 
Mwanachama mwengine wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Ndugu Omar Sheha Mussa amechukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi ya uraisi wa Zanzibar kupitia tiketi ya chama hicho Mgombea huyo akiwa ni mgombea wa nne kuchukua fomu ya kugombea nafasi hio kutoka Chama Cha Mapinduzi Ccm Zanzibar.

Aliwahi kushika nafasi mbali mbali katika awamu zilizopita na anaona anataka kuleta mabadiliko kwenye uchumi kwa kuwa ndio sekta yake aliyoitumikia muda mrefu

ANAROHO NGUMU KWAKWELI
 
Wanahangaika lakini mwinyi ndo raisi.
Bado samia suluhu sasa au mbarawa.
 
Back
Top Bottom