Namba 666 na uhusiano wa melanin!

Namba 666 na uhusiano wa melanin!

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
666 Sio namba ya Uovu! Hakuna cha chapa ya shetani wala nini! Shetani wanaye mmaanisha wazungu ni Mtu Mweusi! Ndio maana kila kitu cheusi kwao ni uovu.

666 = MELANIN, MTU MWEUSI

Melanin ni CARBON, Utengenezaji wa kiatomiki wa carbon hutumia Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 walio soma Sayansi wanaelewa nachokisema. Hakuna uovu kwenye hiyo namba 666. Hiyo ilikuwa ni agenda iliyotengenezwa dhiidi ya jamii ya Watu wenye Melanin.

Melanin ni Carbon kama ilivyo kwa Dunia. Kitu chochote ambacho ni cheusi au brown kina melanin. Miti ni ya brown kwasababau ina Melanin, Macho ya Simba yana Melanin.

Watu weusi na wenye rangi ya Brown ni watu Asili kabisa wa Dunia hii.

Hu / Hue = Colour

Man = Spirit, Thinker, Being

Hu + Man = Black Man

Ambapo ndipo neno Human lilipoanzia, HUE-man.

666 = Mungu, Asili na Watu wenye Melanin.

Melanin ina husiana na rangi ambayo huifanya ngozi kuwa Nyeusi au Brown, lakini kuna zaidi ya hapo.

Melanin imetokana na jua hivyo sisi ni watu wa Jua. Hivyo basi Jua ni kama Mungu kwasababu kimsingi limetengeneza uwepo wa vitu kwasababu kila kitu cha asili kina Melanin, tambua kwamba, Wazungu wana Melanin ndogo hivyo Mimea na Wanyama ndio wamewaumba wao?

Melanin ni mkusanyiko wa Carbon, Dark Matter, DMT, Neurological- Electromagnetism, Aether, na Zero Point Energy. Ni medulla oblongata, pituitary gland na thalamus.

Melanin ni giza la Anga tupu, ndio kiini cha nyota na Black Holes. Melanin ni katikati ya jicho, yaani Mboni. Ni Ufahamu kwa ujumla na njia yetu ya Akashic Records. Mwisho melanin ni rangi ya ngozi.

Una kila kitu ambacho kila mtu anakitaka lakini hawezi kukipata. Ndio maana sisi ndio taifa ambalo tunachukiwa na kubaguliwa sana Duniani. Tumeitwa nyani, Bara la Giza na matusi kama yote unadhani kwanini? Wakati Afrika tumestaarabika Wazungu walikuwa wanaishi kama ma Vampire yaani kwa kifupi ni ma Vampire kwasababu walikuwa wanatoka nje usiku tu! Mchana wa jua kali walikuwa wanajificha kwenye mapango ya milima ya Caucasian.

Sasa katika kupambana na asili ikabidi watafute sehemu ambayo hali ya hewa ni normal yaani kuna kipindi kifupi cha jua kuliko vipindi vingine! Katika safari yao hiyo wakawa ni watu waovu! Wauwaji wakifika mahali wakipapenda wanaua wenyeji wanakaa wao! Unavyo iona Marekani pale wenyeji wenyewe walifyekwa wote ndipo wakakaa jamaa maana eneo hilo halikuwa na utofauti wowote na Uingereza! Mzungu hakuwa na ustaarabu wowote na ndio maana wenyeji wachache wa Marekani walisukumiwa huko chini Mexico na unavyo ona Wanapambana kujenga ukuta ni hofu tu ya wenyeji kurudi kwao. Wanahisi kile kizazi hawakukimaliza chote.

KWANINI 666
Mzungu alijua kabisa tumeumbwa na vitu hivyo sita sita tatu! Anafahamu kwamba kila kitu alicho tupandikiza na kutumezesha kuna siku tutakataa. Alituweka Utumwani alijua tu kuna siku tutakuja kukataa kuwa Watumwa!! Wakakaa kikao cha Kijinga kuigawa Afrika wakasema ABOLITION OF SLAVE TRADE! Wakatumia Dini, Wapelelezi (Ujasusi) na Wafanyabiashara kuweka UKOLONI (COLONIALISM)! Walijua tu kuna siku tutakataa Ukoloni! Wakajifanya eti wanatuachia huru kwa kuweka Vibaraka wao ambao sisi tunawaita Wapigania Uhuru.

Baada ya nchi zote kuwa na uhuru wa Bendera Wakatengeneza Kitu kingine kinaitwa UKOLONI MAMBOLEO (NEO-COLONIALISM) Sasa kwenye Dini ya Yesu na Mtume ndio Bomu zito Kuteguka kwakuwa walisha wafundisha na Wakafundishika kwakuwa walishaweka Mungu wao kwenye vichwa vya Mwafrika! Kumtoa huyo Mungu kwenye vichwa vyao ni kazi sana! Wakajua kuna watu wenye MELANIN strong kama mimi ambao tuna Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 yaani 666 tutakataa mfumo wao wa Dini na kurudi kwenye Dini zetu za Asili ambapo tutaitwa WAPINGA KRISTO kama baadhi ya watu wameanza kuniita kuwa mimi ni mpinga Kristo! 666 ni Black People kama ulikuwa hujui kwanini? Kwakuwa One Day tutakataa kila kitu cha Mzungu!

Siku zikianza Harakati za USA yaani United States of Africa ndipo utaona jamaa watakavyo anza Kuhaha na utashuhudia Mauaji ya viongozi wengi sana! Kifupi tukisema tunafunga kila kitu hatutaki Watu wa Mabara mengine halafu tuishi kiume sio Kibabe yaani tuishi kwa kujitafutia. Ndani ya Miaka 10 tu Sehemu nyingine yote ya Dunia itakuwa ni Jehanamu!! Wazungu hawana lolote kwa Mwafrika Tunawasaidia sana Wanatuibia sana!

Wewe ni mzuri umeumbwa kwa Jua. Wewe ni Muungu Hai! Amka mtu Mweusi una nguvu nyingi kubwa! Acha kumhusudu Mzungu na kwa taarifa yako Sehemu yoyote unayoona kwenye Biblia imeandikwa "Mungu Akasema!" Maana yake ni "Mzungu Kasema!" Trick ya Mzungu ku teka Bongo za Wafrika! Kama tumekataa utumwa! Tumekataa Ukoloni! Tunakataa Ukoloni Mamboleo! Tumekataa vitu vingi vyao! Hakuna jema lolote walilotufanyia Je, Ni kipi kikufanye uone kuwa Dini yao ndio Bora? Amka usiwe Zombi wewe!!

=======

MUNGU KWANZA!!!
 
Duh nahisi ni usingizi, nitasoma tena kesho labda nitaelewa
 
Hapo kwenye dini ndio unaanza kukoroga stori yako nzuri ,kwa hiyo Yesu au Nabii Issa ametengenezwa na wazungu?,au bibilia imetungwa na kuratibiwa na wazungu? je taifa la Israel ni changa la macho? Unataka kueleza nini hasa je wazungu hawakua na imani yao kabla ya ukristo? jifunge mkanda njibu je ukristo umetengenezwa na wazungu? thibitisha hilo! Uongo mmoja unaweza kuharibu story ya page 20000 ,kama hujui.
 
666 Sio namba ya Uovu! Hakuna cha chapa ya shetani wala nini!! Shetani wanaye mmaanisha wazungu ni Mtu Mweusi! Ndio maana kila kitu cheusi kwao ni uovu.
666 = MELANIN, MTU MWEUSI

Melanin ni CARBON, Utengenezaji wa kiatomiki wa carbon hutumia Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 walio soma Sayansi wanaelewa nachokisema. Hakuna uovu kwenye hiyo namba 666. Hiyo ilikuwa ni agenda iliyotengenezwa dhiidi ya jamii ya Watu wenye Melanin.

Melanin ni Carbon kama ilivyo kwa Dunia. Kitu chochote ambacho ni cheusi au brown kina melanin. Miti ni ya brown kwasababau ina Melanin, Macho ya Simba yana Melanin.

Watu weusi na wenye rangi ya Brown ni watu Asili kabisa wa Dunia hii.

Hu / Hue = Colour

Man = Spirit, Thinker, Being

Hu + Man = Black Man

Ambapo ndipo neno Human lilipoanzia, HUE-man.

666 = Mungu, Asili na Watu wenye Melanin.

Melanin ina husiana na rangi ambayo huifanya ngozi kuwa Nyeusi au Brown, lakini kuna zaidi ya hapo.

Melanin imetokana na jua hivyo sisi ni watu wa Jua. Hivyo basi Jua ni kama Mungu kwasababu kimsingi limetengeneza uwepo wa vitu kwasababu kila kitu cha asili kina Melanin, tambua kwamba, Wazungu wana Melanin ndogo hivyo Mimea na Wanyama ndio wamewaumba wao?

Melanin ni mkusanyiko wa Carbon, Dark Matter, DMT, Neurological- Electromagnetism, Aether, na Zero Point Energy. Ni medulla oblongata, pituitary gland na thalamus.

Melanin ni giza la Anga tupu, ndio kiini cha nyota na Black Holes. Melanin ni katikati ya jicho, yaani Mboni. Ni Ufahamu kwa ujumla na njia yetu ya Akashic Records. Mwisho melanin ni rangi ya ngozi.

Una kila kitu ambacho kila mtu anakitaka lakini hawezi kukipata. Ndio maana sisi ndio taifa ambalo tunachukiwa na kubaguliwa sana Duniani. Tumeitwa nyani, Bara la Giza na matusi kama yote unadhani kwanini? Wakati Afrika tumestaarabika Wazungu walikuwa wanaishi kama ma Vampire yaani kwa kifupi ni ma Vampire kwasababu walikuwa wanatoka nje usiku tu! Mchana wa jua kali walikuwa wanajificha kwenye mapango ya milima ya Caucasian. Sasa katika kupambana na asili ikabidi watafute sehemu ambayo hali ya hewa ni normal yaani kuna kipindi kifupi cha jua kuliko vipindi vingine! Katika safari yao hiyo wakawa ni watu waovu! Wauwaji wakifika mahali wakipapenda wanaua wenyeji wanakaa wao! Unavyo iona Marekani pale wenyeji wenyewe walifyekwa wote ndipo wakakaa jamaa maana eneo hilo halikuwa na utofauti wowote na Uingereza! Mzungu hakuwa na ustaarabu wowote na ndio maana wenyeji wachache wa Marekani walisukumiwa huko chini Mexico na unavyo ona Wanapambana kujenga ukuta ni hofu tu ya wenyeji kurudi kwao. Wanahisi kile kizazi hawakukimaliza chote.

KWANINI 666
Mzungu alijua kabisa tumeumbwa na vitu hivyo sita sita tatu! Anafahamu kwamba kila kitu alicho tupandikiza na kutumezesha kuna siku tutakataa!! Alituweka Utumwani alijua tu kuna siku tutakuja kukataa kuwa Watumwa!! Wakakaa kikao cha Kijinga kuigawa Afrika wakasema ABOLITION OF SLAVE TRADE! Wakatumia Dini, Wapelelezi ( Ujasusi) na Wafanyabiashara kuweka UKOLONI (COLONIALISM)! Walijua tu kuna siku tutakataa Ukoloni! Wakajifanya eti wanatuachia huru kwa kuweka Vibaraka wao ambao sisi tunawaita Wapigania Uhuru. Baada ya nchi zote kuwa na uhuru wa Bendera Wakatengeneza Kitu kingine kinaitwa UKOLONI MAMBOLEO (NEO-COLONIALISM) Sasa kwenye Dini ya Yesu na Mtume ndio Bomu zito Kuteguka kwakuwa walisha wafundisha na Wakafundishika kwakuwa walishaweka Mungu wao kwenye vichwa vya Mwafrika! Kumtoa huyo Mungu kwenye vichwa vyao ni kazi sana! Wakajua kuna watu wenye MELANIN strong kama mimi ambao tuna
Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 yaani 666 tutakataa mfumo wao wa Dini na kurudi kwenye Dini zetu za Asili ambapo tutaitwa WAPINGA KRISTO kama baadhi ya watu wameanza kuniita kuwa mimi ni mpinga Kristo! 666 ni Black People kama ulikuwa hujui kwanini? Kwakuwa One Day tutakataa kila kitu cha Mzungu!! Siku zikianza Harakati za USA yaani United States of Africa ndipo utaona jamaa watakavyo anza Kuhaha na utashuhudia Mauaji ya viongozi wengi sana! Kifupi tukisema tunafunga kila kitu hatutaki Watu wa Mabara mengine halafu tuishi kiume sio Kibabe yaani tuishi kwa kujitafutia. Ndani ya Miaka 10 tu Sehemu nyingine yote ya Dunia itakuwa ni Jehanamu!! Wazungu hawana lolote kwa Mwafrika Tunawasaidia sana Wanatuibia sana!!

Wewe ni mzuri umeumbwa kwa Jua.
Wewe ni Muungu Hai! Amka mtu Mweusi una nguvu nyingi kubwa! Acha kumhusudu Mzungu na kwa taarifa yako Sehemu yoyote unayoona kwenye Biblia imeandikwa "Mungu Akasema!" Maana yake ni "Mzungu Kasema!" Trick ya Mzungu ku teka Bongo za Wafrika! Kama tumekataa utumwa! Tumekataa Ukoloni! Tunakataa Ukoloni Mamboleo! Tumekataa vitu vingi vyao! Hakuna jema lolote walilotufanyia Je, Ni kipi kikufanye uone kuwa Dini yao ndio Bora? Amka usiwe Zombi wewe!!
=======

MUNGU KWANZA!!!
theory inazo kubalika dunian ukiitoa special creation,ni biochemical synthesis theory, ambapo inaelezea uwepo wa element mfano carbon,hydrogen.nitrogen .na oxygen n.k theory hii inaongelea waz kuwa carbon ndo msing wa maisha hebu njoo kwny vina saba DNA,RNA, NJOO kwenye amino acid,njoo kwny vichocheo kama enzymes na hormone vyote msingi wake ni carbon ambayo wewe umeipa hoja kuu ya carbon kuwa melanini 2!ili hali colour ni part au sehemu ndogo xana kwny chromosome inayokupa sifa mbali mbali kama kimo,rangi,muonekano wa viungo mbalimbali kama mikono masikio nk.kuharalisha 666 kwa kigezo cha carbon ni upuuz kwa xababu carbon x kila mda itakuwa na neuton 6,kuna mda itakuwa 6,5, au 7 kutokana na kuoza au kumegeka kwa isotope. Hvyo acha kuhalalisha ushetani kwa kigezo cha melanin. Then mungu ni mzungu nalaani kauli hii,labda ni mungu wako. mzungu 2namwona waz kuwa kinyume na mafundisho ya mungu kwa kuhalalisha baadhi ya mambo kama ushoga.usagaji! nk xaxa mungu anajipinga. unapoamua kwnda kwa shetani nenda peke yako usihalibu na kzaz kixcho na maalifa,nawasilisha
 
theory inazo kubalika dunian ukiitoa special creation,ni biochemical synthesis theory, ambapo inaelezea uwepo wa element mfano carbon,hydrogen.nitrogen .na oxygen n.k theory hii inaongelea waz kuwa carbon ndo msing wa maisha hebu njoo kwny vina saba DNA,RNA, NJOO kwenye amino acid,njoo kwny vichocheo kama enzymes na hormone vyote msingi wake ni carbon ambayo wewe umeipa hoja kuu ya carbon kuwa melanini 2!ili hali colour ni part au sehemu ndogo xana kwny chromosome inayokupa sifa mbali mbali kama kimo,rangi,muonekano wa viungo mbalimbali kama mikono masikio nk.kuharalisha 666 kwa kigezo cha carbon ni upuuz kwa xababu carbon x kila mda itakuwa na neuton 6,kuna mda itakuwa 6,5, au 7 kutokana na kuoza au kumegeka kwa isotope. Hvyo acha kuhalalisha ushetani kwa kigezo cha melanin. Then mungu ni mzungu nalaani kauli hii,labda ni mungu wako. mzungu 2namwona waz kuwa kinyume na mafundisho ya mungu kwa kuhalalisha baadhi ya mambo kama ushoga.usagaji! nk xaxa mungu anajipinga. unapoamua kwnda kwa shetani nenda peke yako usihalibu na kzaz kixcho na maalifa,nawasilisha
Kwani hiyo dini si amekuletea huyo huyo Mzungu aliyewabaka mabibi wa Afrika na kuwachinja mababu zetu na kuwapeleka utumwani,na ndiye huyo huyo anayehalalisha ushoga sasa hivi.

Ukweli mchungu kumeza and your hurt feeling can't change the truth only truth can change you, nje ya hapo utaishia kuleta hizo hoja za chemistry ya O'level sijui kuoza na kumeguka kwa isotope.

666 'The chosen one'
 
Kwani hiyo dini si amekuletea huyo huyo Mzungu aliyewabaka mabibi wa Afrika na kuwachinja mababu zetu na kuwapeleka utumwani,na ndiye huyo huyo anayehalalisha ushoga sasa hivi.

Ukweli mchungu kumeza and your hurt feeling can't change the truth only truth can change you, nje ya hapo utaishia kuleta hizo hoja za chemistry ya O'level sijui kuoza na kumeguka kwa isotope.

666 'The chosen one'
pamoja na yote hata afrika watu wanabaka vzr 2, xjahalalisha dhambi ya mzungu. ila nakataa hoja ya kuhalalisha 666 kwa kigezo cha carbon,kama umeamua kuifanya part ya maisha yako,usipotoxhe hii jamii iliyo potea
 
pamoja na yote hata afrika watu wanabaka vzr 2, xjahalalisha dhambi ya mzungu. ila nakataa hoja ya kuhalalisha 666 kwa kigezo cha carbon,kama umeamua kuifanya part ya maisha yako,usipotoxhe hii jamii iliyo potea
Mkuu hapo swala ni uelewa juu ya elimu ya namba tu ndo vinakufanya ujione sahihi halafu unione mpotoshaji ukiruhusu kupata maarifa ya ziada kuhusu namba hiyo ndio utaelewa uhalisia.

Kama tunavyoamini wabongo kuwa mzungu ni genius basi hata kufumbua alichokufumba unatakiwa uchimbue zaidi yake yaani uwe genius zaidi yake katika swala husika.

Are you?

Any way don't bother enjoy your sleep, the morning is not that far, I can smell it.😈
 
Mkuu hapo swala ni uelewa juu ya elimu ya namba tu ndo vinakufanya ujione sahihi halafu unione mpotoshaji ukiruhusu kupata maarifa ya ziada kuhusu namba hiyo ndio utaelewa uhalisia.

Kama tunavyoamini wabongo kuwa mzungu ni genius basi hata kufumbua alichokufumba unatakiwa uchimbue zaidi yake yaani uwe genius zaidi yake katika swala husika.

Are you?

Any way don't bother enjoy your sleep, the morning is not that far, I can smell it.😈
nasikitika kwa kuwa utatoa hesabu ya ulisemalo na hata kama hujui au unajua utatoa na hata kama umekalilishwa pia utatoa na hata kama umfanganywa utatoa,dah kwa sababu maisha ni chaguo kila la kheri.ila nasikitika zaidi unalolifanya
halina msamaha.dah pole xana ila uxendelee kuongeza adhabu kwa kupotoxha wa2 dhaidi
 
666 Sio namba ya Uovu! Hakuna cha chapa ya shetani wala nini! Shetani wanaye mmaanisha wazungu ni Mtu Mweusi! Ndio maana kila kitu cheusi kwao ni uovu.

666 = MELANIN, MTU MWEUSI

Melanin ni CARBON, Utengenezaji wa kiatomiki wa carbon hutumia Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 walio soma Sayansi wanaelewa nachokisema. Hakuna uovu kwenye hiyo namba 666. Hiyo ilikuwa ni agenda iliyotengenezwa dhiidi ya jamii ya Watu wenye Melanin.

Melanin ni Carbon kama ilivyo kwa Dunia. Kitu chochote ambacho ni cheusi au brown kina melanin. Miti ni ya brown kwasababau ina Melanin, Macho ya Simba yana Melanin.

Watu weusi na wenye rangi ya Brown ni watu Asili kabisa wa Dunia hii.

Hu / Hue = Colour

Man = Spirit, Thinker, Being

Hu + Man = Black Man

Ambapo ndipo neno Human lilipoanzia, HUE-man.

666 = Mungu, Asili na Watu wenye Melanin.

Melanin ina husiana na rangi ambayo huifanya ngozi kuwa Nyeusi au Brown, lakini kuna zaidi ya hapo.

Melanin imetokana na jua hivyo sisi ni watu wa Jua. Hivyo basi Jua ni kama Mungu kwasababu kimsingi limetengeneza uwepo wa vitu kwasababu kila kitu cha asili kina Melanin, tambua kwamba, Wazungu wana Melanin ndogo hivyo Mimea na Wanyama ndio wamewaumba wao?

Melanin ni mkusanyiko wa Carbon, Dark Matter, DMT, Neurological- Electromagnetism, Aether, na Zero Point Energy. Ni medulla oblongata, pituitary gland na thalamus.

Melanin ni giza la Anga tupu, ndio kiini cha nyota na Black Holes. Melanin ni katikati ya jicho, yaani Mboni. Ni Ufahamu kwa ujumla na njia yetu ya Akashic Records. Mwisho melanin ni rangi ya ngozi.

Una kila kitu ambacho kila mtu anakitaka lakini hawezi kukipata. Ndio maana sisi ndio taifa ambalo tunachukiwa na kubaguliwa sana Duniani. Tumeitwa nyani, Bara la Giza na matusi kama yote unadhani kwanini? Wakati Afrika tumestaarabika Wazungu walikuwa wanaishi kama ma Vampire yaani kwa kifupi ni ma Vampire kwasababu walikuwa wanatoka nje usiku tu! Mchana wa jua kali walikuwa wanajificha kwenye mapango ya milima ya Caucasian.

Sasa katika kupambana na asili ikabidi watafute sehemu ambayo hali ya hewa ni normal yaani kuna kipindi kifupi cha jua kuliko vipindi vingine! Katika safari yao hiyo wakawa ni watu waovu! Wauwaji wakifika mahali wakipapenda wanaua wenyeji wanakaa wao! Unavyo iona Marekani pale wenyeji wenyewe walifyekwa wote ndipo wakakaa jamaa maana eneo hilo halikuwa na utofauti wowote na Uingereza! Mzungu hakuwa na ustaarabu wowote na ndio maana wenyeji wachache wa Marekani walisukumiwa huko chini Mexico na unavyo ona Wanapambana kujenga ukuta ni hofu tu ya wenyeji kurudi kwao. Wanahisi kile kizazi hawakukimaliza chote.

KWANINI 666
Mzungu alijua kabisa tumeumbwa na vitu hivyo sita sita tatu! Anafahamu kwamba kila kitu alicho tupandikiza na kutumezesha kuna siku tutakataa. Alituweka Utumwani alijua tu kuna siku tutakuja kukataa kuwa Watumwa!! Wakakaa kikao cha Kijinga kuigawa Afrika wakasema ABOLITION OF SLAVE TRADE! Wakatumia Dini, Wapelelezi (Ujasusi) na Wafanyabiashara kuweka UKOLONI (COLONIALISM)! Walijua tu kuna siku tutakataa Ukoloni! Wakajifanya eti wanatuachia huru kwa kuweka Vibaraka wao ambao sisi tunawaita Wapigania Uhuru.

Baada ya nchi zote kuwa na uhuru wa Bendera Wakatengeneza Kitu kingine kinaitwa UKOLONI MAMBOLEO (NEO-COLONIALISM) Sasa kwenye Dini ya Yesu na Mtume ndio Bomu zito Kuteguka kwakuwa walisha wafundisha na Wakafundishika kwakuwa walishaweka Mungu wao kwenye vichwa vya Mwafrika! Kumtoa huyo Mungu kwenye vichwa vyao ni kazi sana! Wakajua kuna watu wenye MELANIN strong kama mimi ambao tuna Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 yaani 666 tutakataa mfumo wao wa Dini na kurudi kwenye Dini zetu za Asili ambapo tutaitwa WAPINGA KRISTO kama baadhi ya watu wameanza kuniita kuwa mimi ni mpinga Kristo! 666 ni Black People kama ulikuwa hujui kwanini? Kwakuwa One Day tutakataa kila kitu cha Mzungu!

Siku zikianza Harakati za USA yaani United States of Africa ndipo utaona jamaa watakavyo anza Kuhaha na utashuhudia Mauaji ya viongozi wengi sana! Kifupi tukisema tunafunga kila kitu hatutaki Watu wa Mabara mengine halafu tuishi kiume sio Kibabe yaani tuishi kwa kujitafutia. Ndani ya Miaka 10 tu Sehemu nyingine yote ya Dunia itakuwa ni Jehanamu!! Wazungu hawana lolote kwa Mwafrika Tunawasaidia sana Wanatuibia sana!

Wewe ni mzuri umeumbwa kwa Jua. Wewe ni Muungu Hai! Amka mtu Mweusi una nguvu nyingi kubwa! Acha kumhusudu Mzungu na kwa taarifa yako Sehemu yoyote unayoona kwenye Biblia imeandikwa "Mungu Akasema!" Maana yake ni "Mzungu Kasema!" Trick ya Mzungu ku teka Bongo za Wafrika! Kama tumekataa utumwa! Tumekataa Ukoloni! Tunakataa Ukoloni Mamboleo! Tumekataa vitu vingi vyao! Hakuna jema lolote walilotufanyia Je, Ni kipi kikufanye uone kuwa Dini yao ndio Bora? Amka usiwe Zombi wewe!!

=======

MUNGU KWANZA!!!
Duh,tatizo tunaendeleza propaganda sana
 
sema kilichomuangamiza mtu mweusi ujuaji kupita kiasi na hatokuja kuamka tena hawa watu weupe ndo kwanza wanaanza safari hilo unapaswa kujua
 
yap nikwel unayoyaongea japo kuna vichwa panz watakupinga, pia wale wafuas wa dini nao hawa ndio balaa tuly lazma wapinge tuu, tunaish ktk dunia yenye uongo mwing sana, kuna mambo meng tulidanganywa sana na tukayaamini na mengne bado yanaaminika, lkn huu ndyo wakat mwafaka wa mtu mweuai kuamka, na kwel ni weng wanaoamka nikiwepo mm hapa, nina mengi yakusema na kuumbua uongo tuliokalilisha kuptia elimu na dini
FB_IMG_16231824987564526.jpg
 
Hapo kwenye dini ndio unaanza kukoroga stori yako nzuri ,kwa hiyo Yesu au Nabii Issa ametengenezwa na wazungu?,au bibilia imetungwa na kuratibiwa na wazungu? je taifa la Israel ni changa la macho? Unataka kueleza nini hasa je wazungu hawakua na imani yao kabla ya ukristo? jifunge mkanda njibu je ukristo umetengenezwa na wazungu? thibitisha hilo! Uongo mmoja unaweza kuharibu story ya page 20000 ,kama hujui.
Evolution of bible.....biblia imepitiwa na mikono mingi tangu toka ile ya asir mpka ya sasa,,kuna mabadirko meng yaliyofanywa na hao walioandika vitabu vya biblia kwa nia zao wao,,,ktk biblia wanaandika kwa msisitizo kuwa huruhusiw kuongeza wala kupunguza neno lolote, lkn wao wamefanya hivyo je kwa amri ya nan??
....biblia imepita mpka kw wapagan na waliokuwa na tabia chafu kama KING JEMS uyo aliewaundia version yake, uyu king jems alikuwa muabudu shetan, pia aliandika nakala ya the Book of demonology, ambacho kinauhusu ushetan, huyu alkuwa mpagan pure, lkn ndie alileta version yake na wakristo wanatumia bila kuhoji,ukiwahoji wanaanza ulalamishi ooh Mungu achunguzwi..upuuzi huu,,nakala za vitabu vitakatifu zilikuwa zaid ya80 lakn jiulize jee hizo nyingine ziko wapii??, alafu kwann aandaw uyo mpagan na sio askof ama mchungaj ama kiongoz wa dini?? ni sawa na kusema leo awaundie version mpya mganga ama mchaw je mtamuamin?? sasa huyo mzungu mnamuaminije??
...makosa ya biblia
ina eleza uongo kuhusiana na majina haris ya mitume na manabii
..uongo kuhusu historia ya kristo
..uongo kuhusiana na uhusika wa kristo
..uongo wa jna harisi la kristo kwa kumpa jina la yesu(jesus) ambalo chimbuko lake ni kutoka ktk pepo lijulkanalo kama zeus,yezus,azazel,son of satan kwa hiar yao wakabadr jina ili shetan aabudiwe
..uongo kuhisiana na utumwa wa waisrael uko misri
..uongo kuhusu kuvuka bahar ya shamu
..uongo kuhusian na amri10,zilikuwepo zaid ya10 na zilikuwepo tangu enzi za adamu ndiomaana nao walizjua dhambi ni zipi na zipi
...uongo kuhusiana na chanzo cha rangi za wanadamu, hazijaanzia kwa nuhu
..uongo kuhusiana na taifa la israel
..uongo kuhusiana na siku za mwisho
...uongo kumuhusu Mungu na ufalme wake
...uongo ni mwingi sana kwa mtu alie na mihemko ya dini na hisia za kipumbav hawez kuyaona haya mambo sabbu ya vifungo vya akili, mambo haya wanayoongoza kupotosha n wanadini wote pamoja na wachungaj wote,,,Kizaz hiki hakuna nabii wala mtume wala mtu mwenye Roho mtakatifu HAKUNA.
 
dunia kiuharisia ilitakiwa ikaliwe na mtu mweusi tuu ama mtu original, jiulize kama kuna wanyama chotara, nsegw chotara ambao kimsingi wametokana na mbegu za wanyama wa asiri ama kienyeji na kuna wanadamu chotara pia ambao n hao weupe, jiulze wametoka wapii, kama dunia ilkuwa na viumbe wa asiri tu, hawa machotara wametoka wapi?? jibu unapata tu nikuwa kuna muingiliano wa mtu na viumbe wagen ama nje ya dunia walioamua kuzaa na mtu mweus na kuleta mbegu mpya ambao ni hao white people ama wanadamu, mweupe si mtu bali n mwanadamu ,,mtu ni yule original yaan mweus tu
FB_IMG_16246486040398133.jpg
 
Back
Top Bottom