Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
666 Sio namba ya Uovu! Hakuna cha chapa ya shetani wala nini! Shetani wanaye mmaanisha wazungu ni Mtu Mweusi! Ndio maana kila kitu cheusi kwao ni uovu.
666 = MELANIN, MTU MWEUSI
Melanin ni CARBON, Utengenezaji wa kiatomiki wa carbon hutumia Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 walio soma Sayansi wanaelewa nachokisema. Hakuna uovu kwenye hiyo namba 666. Hiyo ilikuwa ni agenda iliyotengenezwa dhiidi ya jamii ya Watu wenye Melanin.
Melanin ni Carbon kama ilivyo kwa Dunia. Kitu chochote ambacho ni cheusi au brown kina melanin. Miti ni ya brown kwasababau ina Melanin, Macho ya Simba yana Melanin.
Watu weusi na wenye rangi ya Brown ni watu Asili kabisa wa Dunia hii.
Hu / Hue = Colour
Man = Spirit, Thinker, Being
Hu + Man = Black Man
Ambapo ndipo neno Human lilipoanzia, HUE-man.
666 = Mungu, Asili na Watu wenye Melanin.
Melanin ina husiana na rangi ambayo huifanya ngozi kuwa Nyeusi au Brown, lakini kuna zaidi ya hapo.
Melanin imetokana na jua hivyo sisi ni watu wa Jua. Hivyo basi Jua ni kama Mungu kwasababu kimsingi limetengeneza uwepo wa vitu kwasababu kila kitu cha asili kina Melanin, tambua kwamba, Wazungu wana Melanin ndogo hivyo Mimea na Wanyama ndio wamewaumba wao?
Melanin ni mkusanyiko wa Carbon, Dark Matter, DMT, Neurological- Electromagnetism, Aether, na Zero Point Energy. Ni medulla oblongata, pituitary gland na thalamus.
Melanin ni giza la Anga tupu, ndio kiini cha nyota na Black Holes. Melanin ni katikati ya jicho, yaani Mboni. Ni Ufahamu kwa ujumla na njia yetu ya Akashic Records. Mwisho melanin ni rangi ya ngozi.
Una kila kitu ambacho kila mtu anakitaka lakini hawezi kukipata. Ndio maana sisi ndio taifa ambalo tunachukiwa na kubaguliwa sana Duniani. Tumeitwa nyani, Bara la Giza na matusi kama yote unadhani kwanini? Wakati Afrika tumestaarabika Wazungu walikuwa wanaishi kama ma Vampire yaani kwa kifupi ni ma Vampire kwasababu walikuwa wanatoka nje usiku tu! Mchana wa jua kali walikuwa wanajificha kwenye mapango ya milima ya Caucasian.
Sasa katika kupambana na asili ikabidi watafute sehemu ambayo hali ya hewa ni normal yaani kuna kipindi kifupi cha jua kuliko vipindi vingine! Katika safari yao hiyo wakawa ni watu waovu! Wauwaji wakifika mahali wakipapenda wanaua wenyeji wanakaa wao! Unavyo iona Marekani pale wenyeji wenyewe walifyekwa wote ndipo wakakaa jamaa maana eneo hilo halikuwa na utofauti wowote na Uingereza! Mzungu hakuwa na ustaarabu wowote na ndio maana wenyeji wachache wa Marekani walisukumiwa huko chini Mexico na unavyo ona Wanapambana kujenga ukuta ni hofu tu ya wenyeji kurudi kwao. Wanahisi kile kizazi hawakukimaliza chote.
KWANINI 666
Mzungu alijua kabisa tumeumbwa na vitu hivyo sita sita tatu! Anafahamu kwamba kila kitu alicho tupandikiza na kutumezesha kuna siku tutakataa. Alituweka Utumwani alijua tu kuna siku tutakuja kukataa kuwa Watumwa!! Wakakaa kikao cha Kijinga kuigawa Afrika wakasema ABOLITION OF SLAVE TRADE! Wakatumia Dini, Wapelelezi (Ujasusi) na Wafanyabiashara kuweka UKOLONI (COLONIALISM)! Walijua tu kuna siku tutakataa Ukoloni! Wakajifanya eti wanatuachia huru kwa kuweka Vibaraka wao ambao sisi tunawaita Wapigania Uhuru.
Baada ya nchi zote kuwa na uhuru wa Bendera Wakatengeneza Kitu kingine kinaitwa UKOLONI MAMBOLEO (NEO-COLONIALISM) Sasa kwenye Dini ya Yesu na Mtume ndio Bomu zito Kuteguka kwakuwa walisha wafundisha na Wakafundishika kwakuwa walishaweka Mungu wao kwenye vichwa vya Mwafrika! Kumtoa huyo Mungu kwenye vichwa vyao ni kazi sana! Wakajua kuna watu wenye MELANIN strong kama mimi ambao tuna Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 yaani 666 tutakataa mfumo wao wa Dini na kurudi kwenye Dini zetu za Asili ambapo tutaitwa WAPINGA KRISTO kama baadhi ya watu wameanza kuniita kuwa mimi ni mpinga Kristo! 666 ni Black People kama ulikuwa hujui kwanini? Kwakuwa One Day tutakataa kila kitu cha Mzungu!
Siku zikianza Harakati za USA yaani United States of Africa ndipo utaona jamaa watakavyo anza Kuhaha na utashuhudia Mauaji ya viongozi wengi sana! Kifupi tukisema tunafunga kila kitu hatutaki Watu wa Mabara mengine halafu tuishi kiume sio Kibabe yaani tuishi kwa kujitafutia. Ndani ya Miaka 10 tu Sehemu nyingine yote ya Dunia itakuwa ni Jehanamu!! Wazungu hawana lolote kwa Mwafrika Tunawasaidia sana Wanatuibia sana!
Wewe ni mzuri umeumbwa kwa Jua. Wewe ni Muungu Hai! Amka mtu Mweusi una nguvu nyingi kubwa! Acha kumhusudu Mzungu na kwa taarifa yako Sehemu yoyote unayoona kwenye Biblia imeandikwa "Mungu Akasema!" Maana yake ni "Mzungu Kasema!" Trick ya Mzungu ku teka Bongo za Wafrika! Kama tumekataa utumwa! Tumekataa Ukoloni! Tunakataa Ukoloni Mamboleo! Tumekataa vitu vingi vyao! Hakuna jema lolote walilotufanyia Je, Ni kipi kikufanye uone kuwa Dini yao ndio Bora? Amka usiwe Zombi wewe!!
=======
MUNGU KWANZA!!!
666 = MELANIN, MTU MWEUSI
Melanin ni CARBON, Utengenezaji wa kiatomiki wa carbon hutumia Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 walio soma Sayansi wanaelewa nachokisema. Hakuna uovu kwenye hiyo namba 666. Hiyo ilikuwa ni agenda iliyotengenezwa dhiidi ya jamii ya Watu wenye Melanin.
Melanin ni Carbon kama ilivyo kwa Dunia. Kitu chochote ambacho ni cheusi au brown kina melanin. Miti ni ya brown kwasababau ina Melanin, Macho ya Simba yana Melanin.
Watu weusi na wenye rangi ya Brown ni watu Asili kabisa wa Dunia hii.
Hu / Hue = Colour
Man = Spirit, Thinker, Being
Hu + Man = Black Man
Ambapo ndipo neno Human lilipoanzia, HUE-man.
666 = Mungu, Asili na Watu wenye Melanin.
Melanin ina husiana na rangi ambayo huifanya ngozi kuwa Nyeusi au Brown, lakini kuna zaidi ya hapo.
Melanin imetokana na jua hivyo sisi ni watu wa Jua. Hivyo basi Jua ni kama Mungu kwasababu kimsingi limetengeneza uwepo wa vitu kwasababu kila kitu cha asili kina Melanin, tambua kwamba, Wazungu wana Melanin ndogo hivyo Mimea na Wanyama ndio wamewaumba wao?
Melanin ni mkusanyiko wa Carbon, Dark Matter, DMT, Neurological- Electromagnetism, Aether, na Zero Point Energy. Ni medulla oblongata, pituitary gland na thalamus.
Melanin ni giza la Anga tupu, ndio kiini cha nyota na Black Holes. Melanin ni katikati ya jicho, yaani Mboni. Ni Ufahamu kwa ujumla na njia yetu ya Akashic Records. Mwisho melanin ni rangi ya ngozi.
Una kila kitu ambacho kila mtu anakitaka lakini hawezi kukipata. Ndio maana sisi ndio taifa ambalo tunachukiwa na kubaguliwa sana Duniani. Tumeitwa nyani, Bara la Giza na matusi kama yote unadhani kwanini? Wakati Afrika tumestaarabika Wazungu walikuwa wanaishi kama ma Vampire yaani kwa kifupi ni ma Vampire kwasababu walikuwa wanatoka nje usiku tu! Mchana wa jua kali walikuwa wanajificha kwenye mapango ya milima ya Caucasian.
Sasa katika kupambana na asili ikabidi watafute sehemu ambayo hali ya hewa ni normal yaani kuna kipindi kifupi cha jua kuliko vipindi vingine! Katika safari yao hiyo wakawa ni watu waovu! Wauwaji wakifika mahali wakipapenda wanaua wenyeji wanakaa wao! Unavyo iona Marekani pale wenyeji wenyewe walifyekwa wote ndipo wakakaa jamaa maana eneo hilo halikuwa na utofauti wowote na Uingereza! Mzungu hakuwa na ustaarabu wowote na ndio maana wenyeji wachache wa Marekani walisukumiwa huko chini Mexico na unavyo ona Wanapambana kujenga ukuta ni hofu tu ya wenyeji kurudi kwao. Wanahisi kile kizazi hawakukimaliza chote.
KWANINI 666
Mzungu alijua kabisa tumeumbwa na vitu hivyo sita sita tatu! Anafahamu kwamba kila kitu alicho tupandikiza na kutumezesha kuna siku tutakataa. Alituweka Utumwani alijua tu kuna siku tutakuja kukataa kuwa Watumwa!! Wakakaa kikao cha Kijinga kuigawa Afrika wakasema ABOLITION OF SLAVE TRADE! Wakatumia Dini, Wapelelezi (Ujasusi) na Wafanyabiashara kuweka UKOLONI (COLONIALISM)! Walijua tu kuna siku tutakataa Ukoloni! Wakajifanya eti wanatuachia huru kwa kuweka Vibaraka wao ambao sisi tunawaita Wapigania Uhuru.
Baada ya nchi zote kuwa na uhuru wa Bendera Wakatengeneza Kitu kingine kinaitwa UKOLONI MAMBOLEO (NEO-COLONIALISM) Sasa kwenye Dini ya Yesu na Mtume ndio Bomu zito Kuteguka kwakuwa walisha wafundisha na Wakafundishika kwakuwa walishaweka Mungu wao kwenye vichwa vya Mwafrika! Kumtoa huyo Mungu kwenye vichwa vyao ni kazi sana! Wakajua kuna watu wenye MELANIN strong kama mimi ambao tuna Proton 6 Electron 6 na Neutron 6 yaani 666 tutakataa mfumo wao wa Dini na kurudi kwenye Dini zetu za Asili ambapo tutaitwa WAPINGA KRISTO kama baadhi ya watu wameanza kuniita kuwa mimi ni mpinga Kristo! 666 ni Black People kama ulikuwa hujui kwanini? Kwakuwa One Day tutakataa kila kitu cha Mzungu!
Siku zikianza Harakati za USA yaani United States of Africa ndipo utaona jamaa watakavyo anza Kuhaha na utashuhudia Mauaji ya viongozi wengi sana! Kifupi tukisema tunafunga kila kitu hatutaki Watu wa Mabara mengine halafu tuishi kiume sio Kibabe yaani tuishi kwa kujitafutia. Ndani ya Miaka 10 tu Sehemu nyingine yote ya Dunia itakuwa ni Jehanamu!! Wazungu hawana lolote kwa Mwafrika Tunawasaidia sana Wanatuibia sana!
Wewe ni mzuri umeumbwa kwa Jua. Wewe ni Muungu Hai! Amka mtu Mweusi una nguvu nyingi kubwa! Acha kumhusudu Mzungu na kwa taarifa yako Sehemu yoyote unayoona kwenye Biblia imeandikwa "Mungu Akasema!" Maana yake ni "Mzungu Kasema!" Trick ya Mzungu ku teka Bongo za Wafrika! Kama tumekataa utumwa! Tumekataa Ukoloni! Tunakataa Ukoloni Mamboleo! Tumekataa vitu vingi vyao! Hakuna jema lolote walilotufanyia Je, Ni kipi kikufanye uone kuwa Dini yao ndio Bora? Amka usiwe Zombi wewe!!
=======
MUNGU KWANZA!!!