lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Inakaaa sna ndani au ya trip fupi nalo tatizo..Kuna gari namba B haijafikisha km 90,000.
Nina A ipo 79k sasaKuna gari namba B haijafikisha km 90,000.
Prado ziko nne..ni ipi anakuuzia 1st gen kakupiga second gen pia anakupigaAsante mkuu,je unaweza pata Plate namba A ikawa nźuri? Sababu kuna jamaa anajza prado 19M ila ni namba A na millage 150,000 nitaishi nayo muda mrefu kweli?
Nane kivipi wakati namba A usajili ulianza 2006 second half kama si 2007 hapo!Unamaanisha plate number au?
Kama plate no wengi huamini no D kwa sasa ndio latest ingawa zipo no D zina miaka miwil kama DDS.
Hiyo no A ndio zile Gari za mwanzo kabisa zilipewa plate no hizo zinamiaka sio chini ya nane mfano AXY
Hahahahaha hio nyumba yako ina gari ngapi kwanza tuanzie hapo?Nina A ipo 79k sasa
Na aliinunua ikiwa na kilometa ngapi?Hahahahaha hio nyumba yako ina gari ngapi kwanza tuanzie hapo?
Kwa mwandiko huu hata ukiuziwa hiyo 2m hiyo hela hunaAsante mkuu,je unaweza pata Plate namba A ikawa nźuri? Sababu kuna jamaa anajza prado 19M ila ni namba A na millage 150,000 nitaishi nayo muda mrefu kweli?