Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Utopolo's finest..... Hiyo mechi 1 tu aliyofungwa ilikuwa ya ubingwa. Mechi 3 alizoshinda ni kama wangeshinda Ihefu tu....Kuanzia tarehe 1 January 2021 hadi leo hii tarehe 12 Disemba 2021, Yanga na Simba wamekutana mara 5. Matokeo ni kama ifuatavyo;
Yanga;
kashinda mechi 3,
kafungwa mechi 1,
sare mechi 1.
Simba; BATA
wamefungwa mechi 3, wameshinda mechi 1,
sare mechi 1.
Hivyo ndivyo tunavyoufunga mwaka 2021. POPOTE ULIPO MWANANCHI PIGA KIFUA.
DAIMA MBELE
UKINUNA UWE NA SABABU [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hakuna kombe linalo tolewa ktk ngazi ya nusu fainali. Simba inafaa wasitafute kufika nusu fainali ila watafute kombe kwani hata mwaka 1974 pia walitolewa kwenye nusu fainali la klabu bingwa Afrika na Mehallah ya Misri hivyo kama ni kufika nusu fainali basi haitakuwa mara yao ya kwanza ni historia itakuwa imejirudia tu.malengo ya utupolo kwa mwaka 2021 ni kumfunga simba wakati malengo ya simba ni kufika nusu finali mashindano ya CAF
Kuanzia tarehe 1 January 2021 hadi leo hii tarehe 12 Disemba 2021, Yanga na Simba wamekutana mara 5. Matokeo ni kama ifuatavyo;
Yanga;
kashinda mechi 3,
kafungwa mechi 1,
sare mechi 1.
Simba; BATA
wamefungwa mechi 3, wameshinda mechi 1,
sare mechi 1.
Hivyo ndivyo tunavyoufunga mwaka 2021. POPOTE ULIPO MWANANCHI PIGA KIFUA.
DAIMA MBELE
UKINUNA UWE NA SABABU [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Namba hazidanganyi afu hesabu yao 4yrs wameishia mapinduzi cupKakimbia uzi,,Dπππ
Sawa Uto namba tumeziona,haya tupe maendeleo sasa nyinyi mko wapi kimataifa na wenzenu Simba wako wapi kimataifa?
Hiyo mieleka utopwiiii/utopwinyo wanashiriki..? Wewe ni mpuuzi hakikaHivi simba inashiriki michuano gani ya kimataifa zaidi ya hii mashindano ya mieleka /ukishatolewa kwenye international champion league na ukaingia kwenye shirikisho then wewe ni sawa na anayeshiriki mashindano ya mieleka tu /upo ziwa?
Hiyo mieleka utopwiiii/utopwinyo wanashiriki..? Wewe ni mpuuzi hakika
Who is hopeless.? Btn me and you?.? Unaita mashindano.ya CAF confederation cup.eti ni.mieleka hata makundi hujawahi kuvuka hiyo mieleka. Unajua kuandika ugoro but facts huna. Eti imetolewa international kwani shirikisho ni mapinduzi..? Wewe babako.angepiga nyeto au angechomoa tu usizaliwe. Stupid πππUngekuwa ndugu yangu wewe ningebadilishana na gunia la ufuta // hopeless kabisa
Who is hopeless.? Btn me and you?.? Unaita mashindano.ya CAF confederation cup.eti ni.mieleka hata makundi hujawahi kuvuka hiyo mieleka. Unajua kuandika ugoro but facts huna. Wewe babako.angepiga nyeto au angechomoa tu usizaliwe. Stupid [emoji57][emoji57][emoji57]
Kabwili. Unataka ukunwe nazi eehhh .? UtatwangwaUbongo wako una kamasi ! I cant argue with such a moron like you ! To hell
Nyie hata ayo mashindano ya mieleke mmo?,mnamisimu mingapi mkiingia mnatupwa nje round ya kwanza?Hivi simba inashiriki michuano gani ya kimataifa zaidi ya hii mashindano ya mieleka /ukishatolewa kwenye international champion league na ukaingia kwenye shirikisho then wewe ni sawa na anayeshiriki mashindano ya mieleka tu /upo ziwa?