Ingia kwenye website ya atcl.kisha bonyeza vile vimstari vitatu pale juu kabisa kwenye Kona kuliaMsaada
Departure ni unapotokea
Destination ni unapoishia
Asante dearNimefurahi kukutana na uliyo andika ayajue
😍
Kwanini wamefuta uzi wako?Asante dear
Ndugu sijui.ila waache tuKwanini wamefuta uzi wako?
Watu wana dharau za kishambaEtiiii memkwa khaaaa
Haahaa halaf unaambiwa "mbona msukuma darasa la 7 tu lakini tajiri?Mkiambiwa nendeni MEMKWA mnatutukana
Ha ha haHaahaa halaf unaambiwa "mbona msukuma darasa la 7 tu lakini tajiri?