A
Anonymous
Guest
Habari mimi ni mdau, changamoto yangu kubwa ni kuwa namba nyingi za simu za mashirika ya umma hazipatikani na zingine ukipiga zinakuwa hazipo...
Pamoja na changamoto hiyo, bado mashirika wanaziweka hizo namba kwenye anuani za mashirika hayo jambo linaloleta mkanganyiko sana hasa ukiwa unahitaji kuwapigia ili kupata huduma zao... na mara nyingi mashirika hayo yanatumia namba za zamani sana na bado hawazibadilishi ili kuendana uhitaji wa sasa.
Nashauri viongozi wa mashirika ya umma kukaa na kutafakari hili suala. Waachane kabisa kutumia namba za miaka ya zamani ambazo hazipatikani.. waweke zinazopatikana na huduma kwa wateja ziboreshwe ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na kuondoa usumbufu kwa raia.
Pamoja na changamoto hiyo, bado mashirika wanaziweka hizo namba kwenye anuani za mashirika hayo jambo linaloleta mkanganyiko sana hasa ukiwa unahitaji kuwapigia ili kupata huduma zao... na mara nyingi mashirika hayo yanatumia namba za zamani sana na bado hawazibadilishi ili kuendana uhitaji wa sasa.
Nashauri viongozi wa mashirika ya umma kukaa na kutafakari hili suala. Waachane kabisa kutumia namba za miaka ya zamani ambazo hazipatikani.. waweke zinazopatikana na huduma kwa wateja ziboreshwe ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na kuondoa usumbufu kwa raia.