Namba tuliyoambiwa na TCRA kuitumia kuhakiki vitambulisho haisaidii chochote

Namba tuliyoambiwa na TCRA kuitumia kuhakiki vitambulisho haisaidii chochote

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,634
Reaction score
7,015
TCRA na "106# wanafaidika na nini? Maana ni kama usanii.

Hiyo ni namba tuliyoambiwa kuitumia kuhakiki iwapo vitambulisho vyetu vimesajili namba ambazo hatuzitambui.

Kwa bahati mbaya kila nikijaribu wala sipati majibu. Sasa nauliza, iwapo TCRA wanatumia nguvu nyingi kuitangaza kupitia clouds, je wanafaidika na nini iwapo sisi wananchi haitusaidii kujua kama vitambulisho vyetu vimetumika na matapeli?
 
Hapa ndio kule msingi wa hoja za Yule jamaa wa pdf.

(1) uwepo OCT TANZANIA Kwa ajili ya kupokea na ku process malalamiko ya watz kutoka everywhere Duniani.

Hili tayari lingeshafika mezani Kwa Mkurugenzi na Kwa Waziri na hata Kwa Rais kupitia OVC Tanzania.

(2) Kama idea Hii imeletwa kimagumashi ili kupiga hela, basi REVENUE INTELLIGENCE BUREAU ingeweza kubaini hili fasta fasta kiintelijensi na ku deal nayo.

Now, I can see the vision of the pdf guy
 
Back
Top Bottom