Uchaguzi 2020 Namba tutaisoma wote

pet geo pet

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
508
Reaction score
788
Katika pitapita zangu nimeona wafauasi wa CCM karibu nchi zima wanafurahia kuanguka kwa wapinzani nguri wa Tanzania kama vile HECHE,MDEE,ESTHER, LEMA,SUGU,MBOWE,MSIGWA,na wengineo.

Hawa viongozi msidhani wanashida kama hawa wanaofurahia kila siku CCM mbele kwa mbele ukiangalia hata uhakika wa Milo miwili hawana uhakika,wamesomesha watoto wao shule lakini hawana ajira kwakweli inasikitisha sana.

Na maisha yatakuwa magumu sana zaidi ya munavyofikiria,subilieni muda ufike na bunge la CCM ndio ndioooo ndiooo imepita hiyo.

Hakika tutakao umia sisi watu wa chini,ninahuhakika hata wao CCM wanajuta kwa waliyotenda kukosa changamoto bungeni.

Sasahivi hatakuwa na watu wasiojulikana, wapinga maendeleo, tusubilie mwendo wa kuwa na Tanzania kama karifoniaaaaa..hakika tumerudi miaka 30 nyuma.
 
Power corrupts... but absolute power corrupts absolutely.

Sasa wana absolute power. Its time for human nature to take over.

Kama naliona deni la taifa litakapokuwa by 2025.
 

Pumba hizi kawamwagie wajinga huko siyo hapa JF.
 
Huu uchaguzi kwa upande mwingine naona utatufunza sana hasa tukimaliza miaka mingine mitano. Nadhani watanzania wengi (hasa nikisoma post zao fb na humu Jf) ni watu ambao shida zimewachapa kiasi kwamba wamekuwa sugu wanadhani wakila kuku mara moja kwa wiki huku wakiangalia mpira wa Simba na Yanga wikiendi hayo ndiyo maisha. Kwa ufupi wengi hawajui maisha bora ni yapi hivyo ushabiki na kutokufahamu kutokana na kuzaliwa, kukulia na kufa kwenye shida. Mabadiliko hayaepukiki na tusipoweza sisi wataweza wenetu. Ni muda tu unakuja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…