samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 355
Anakudanganyaaa Anakudanganya Huyoooooo-B Luv M
Kaka tuna 8 yrs, namimi pia humuona kwamba sasa anafika,hivyo hufanya juu chini twende sambamba,na wakatimwingine humuomba turudie lakini huonyesha kuwa amechoka nahuwanamuonea huruma.
Huo muda mfupi ni muda gani??? Sasa kama wewe inakuchukua dakika 45 ndio unamaliza, mwenzio akimaliza ndani ya dakika 20 unaona kuna tatizo??? Wanawake tunatofautiana katika muda wa kufika kileleni, hata nyie men mnatofautiana pia. Sasa kinachokushangaza sijui ni nini!!
aisee ni kweli kabisa mie imeshawahi kuitokea demu kamaliza ndani ya dakika mbili tatu tu kabisa namuona anahaha kuachia kitu, lakini mie nikiwa bado na baada ya hapo anapumua kwa nguvu akisema amechoka kabisa. Nikadhani utani siku ikapita.
Next time nikasema ngoja nifanye juu chini nimuwahi, weeeee, dakika moja au mbili demu kamaliza shughuli haid akawa kama kazimia, kuamka hapo anasema yuko hoi.
Hadi leo sielewi huyu demu ana matatizo gani
Maandalizi 30min tendo 5min wote tushamaliza.
mparamie, usimwandae kama unaumua unga wa vitumbua.
Anza zile za 'rara nikurenge'
Kama hivo ye ndio anawahi basi jitahidi uwahi kumaliza ndani ya dkk 3 kula karanga mbichi sana!
mparamie, usimwandae kama unaumua unga wa vitumbua.
Anza zile za 'rara nikurenge'
Mkuu hii haisaidii hebu soma post yangu hapo juu, mie nimewahi kushuhudia hii, tatizo ukianza maandalizi then ukichomeka kitu tu demu anamaliza fasta, labda useme uingie bila kumfanyia maandalizi kitu ambacho hakitofautiani na ubakaji.