Ana kipindi cha Tv, nadhani TBC, ukienda pale unampata!habari.
Naomba mwenye namba ya simu ya Mshereheshaji Bi Chau anipatie, kuna kitchen party tunataka awe MC.
MBITIYAZA, Shunie Miss Natafuta na wengineo naomba please.
Sawa
Bora genge lichangamke mkuuPole Mkuu, keyboard za siku hizi nyepesi sana!
Kwani wewe ni mwanamke wa wapi?Kwa huko Dar labda!!!!
hahahaha ngoja ninyamaze basi niwe nimekuona Mimi tu.utoke faster sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Taratibu mkuu hapa nimeingia cha kike!!
Sawa Engneer mmh0717012017. Tafadhar usimwambie nmekupa mm
Labda mama alihisi atakuja na "mashouger" hahahahahaha. habari za mchana bibie?hahaha ninampenda jaman bichau!uwiii !nilitaka sana aje kwenye kitchen party yangu anifunde niwe nacheka mie !mama akagoma !lol
Labda mama alihisi atakuja na "mashouger" hahahahahaha. habari za mchana bibie?
hahahahahahahhaahahhah, tehe tehe tehe nimecheka kwa sauti kubwa!
hahahaha, mama alikubania zawadi, maana watu wangesikia anakuja Bi Chau wangetoa ufadhali kwa dhati kabisa hadi ukumbi ingebidi mkae kama mko darasani hakuna meza hahahahahah kwa wingi wenuhahha mamangu pure sabato haamini kwenye hayo mambo ya kina biachau !anadai likikukuta tu kweye ndoa sali sana na usome bible !hahaha nampenda sana jaman !huwa simkosi itv
Haya mpe namba bibie..hahaha ninampenda jaman bichau!uwiii !nilitaka sana aje kwenye kitchen party yangu anifunde niwe nacheka mie !mama akagoma !lol
hahahaha, mama alikubania zawadi, maana watu wangesikia anakuja Bi Chau wangetoa ufadhali kwa dhati kabisa hadi ukumbi ingebidi mkae kama mko darasani hakuna meza hahahahahah kwa wingi wenu
nilikua nayo zaman nw sina !Haya mpe namba bibie..
Hapana sijapata. kama ikifika jioni sijapata nitaenda kwa mwikilishi wa ITV hapa kwetu anipatie au aniombee huko DARhahaha !lakini umeipata? mrushen aje na ndege tafwazali ! yeah zawad zingekwua mob !
Umepotea kweli humu JFnilikua nayo zaman nw sina !