Namba za magari Tanzania

Watalaam wa hesabu (permutation and combination) watukokotolee namba ngapi za magari zipo kati ya T101AAA hadi T9999ZZZ bila kutumia herufi O na I kwa mtindo wanaotumia TRA..
ngoja nikachukue daftari langu la BAM, nikumbushie concept
 
Sioni tatizo.
 
Hiyo shughuli ni pevu sana! Lakini plate number zinaanzia T 001 AAA
Hapana,Zero haianzi mwanzoni kwa namba za "T" kuna mtaalam kalisema humu nadhani yupo TRA.Wanatumia formular ya Txyzabc where x,y,z are positive intergers na kwamba X iz not equal to zero na hizo a,b,c ni alphabets ambazo hazihushishi O na I.Kind of Mathematics!
 
ngoja nikachukue daftari langu la BAM, nikumbushie concept
Mkuu we bam bam mnafahamika ni linear programing na sequence and series ndo uwanja wenu wa nyumbani ila huko kwa pamutation mhh japo si ngumu lakin hapo aise mkuu ukiweza we ulienda kusoma bam bahat mbaya
 
Naanza
SAA
CCM
KUM
MAV
TAK
PUM
GAY
SHE
HIM
VUZ

Nikuongeze?
 
T666ALI[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji106] [emoji106]
 
Watalaam wa hesabu (permutation and combination) watukokotolee namba ngapi za magari zipo kati ya T101AAA hadi T9999ZZZ bila kutumia herufi O na I kwa mtindo wanaotumia TRA..
Ni T101 AAA hadi T999 ZZZ na siyo 9999!
 
Hiyo shughuli ni pevu sana! Lakini plate number zinaanzia T 001 AAA
Hapana,ni 101! Zamani zile za mikoani kama MB,MG,MB ndo zilianza 001 na zile za Tanzania mfumo wa TZA,TZB nafikiri ilikua ni 001.hadi 10000
 
Hadi sasa tupo D, hivyo mambo ya TIA siyo ya kufikiwa katika karne hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…