Namba za nyumba

Namba za nyumba

Mzee makoti

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2016
Posts
3,482
Reaction score
4,673
Kuna zoezi mitaa ya kwetu huko la kubandika namba za nyumba zile za njano, hivi zina umuhimu gani ilhali watu wengine tulishapewa hati na kuna plot number ya eneo!!? Naona kama ni mradi tu waupigaji pesa, kila kinamba inatakiwa kulipia 5,500/= ukipiga hesabu kwa nyumba elfu kumi tu karibia mamilioni
 
Mbona huku muda sana washabandika enewei zinasaidia kutoa utambulisho . 23block,kwajunist, mtu hapati tabu zaidi kuliko kuanza kieleza nyumba ile yenye rangi ya maruuni ipo karibu na kibanda cha mpesa sijui nini
 
Back
Top Bottom