Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
Habari wakuu,
Ni wiki sasa, nimekuwa najaribu kuwasiliana na mamlaka ya vitambulisho vya Taifa ofisi za Ukonga, Dar. Zipo namba mbili zimewekwa mtandaoni kwa ajili ya wananchi kuwasiliana na mamlaka hii kuhusu huduma za vitambulisho ikiwemo hii +255673333444 lakini namba hizi hata wewe hapo ukijaribu kupiga jibu ni zinatumika..
Hii imekaaje? Ni kweli zinatumika watu ni wengi au kuna uhuni tunafanyiwa? Kama ni uhuni, mamlaka pia zimebariki AIBU HII?
Naombeni majibu!
Ni wiki sasa, nimekuwa najaribu kuwasiliana na mamlaka ya vitambulisho vya Taifa ofisi za Ukonga, Dar. Zipo namba mbili zimewekwa mtandaoni kwa ajili ya wananchi kuwasiliana na mamlaka hii kuhusu huduma za vitambulisho ikiwemo hii +255673333444 lakini namba hizi hata wewe hapo ukijaribu kupiga jibu ni zinatumika..
Hii imekaaje? Ni kweli zinatumika watu ni wengi au kuna uhuni tunafanyiwa? Kama ni uhuni, mamlaka pia zimebariki AIBU HII?
Naombeni majibu!