Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
mmmmh! bado mifano yako haina mashiko! kuna mtu alishawahi kuuliza swali hilo ila yeye aliweka hoja za msingi sana na akapata majibu ya kutosha ila wewe na hizo hoja zako sina hakika kama utapata majibuWakuu naomba kujuzwa Siri iliyopo nyuma ya nambari 3 maana hi nambari hutumika Sana katika Mambo mbali mbali.Kwa mfano;
1.Huwa tunakula Mila 3 kwa siku
2.Mchezaji wa soka akifunga mabao 3 hio inaitwa hat- trick na anazawadiwa mpira.
3.vijijini nyumba nyingi zina vyumba 3.
4.Wagonjwa hushauriwa kumeza dawa Mara 3 kwa siku
5.Ukimdai mtu Deni lako atakwambia usubiri kdgo atakulipa baada ya siku 3.
6.Kuku huangua vifaranga baada ya wiki 3( 21 days)
7.Babu yangu Ana wake 3[emoji23][emoji23][emoji23]
8.Mimi mwenyewe Nina ndugu 3
3.vijijini nyumba nyingi zina vyumba 3.Wakuu naomba kujuzwa Siri iliyopo nyuma ya nambari 3 maana hi nambari hutumika Sana katika Mambo mbali mbali.Kwa mfano;
1.Huwa tunakula Mila 3 kwa siku
2.Mchezaji wa soka akifunga mabao 3 hio inaitwa hat- trick na anazawadiwa mpira.
3.vijijini nyumba nyingi zina vyumba 3.
4.Wagonjwa hushauriwa kumeza dawa Mara 3 kwa siku
5.Ukimdai mtu Deni lako atakwambia usubiri kdgo atakulipa baada ya siku 3.
6.Kuku huangua vifaranga baada ya wiki 3( 21 days)
7.Babu yangu Ana wake 3[emoji23][emoji23][emoji23]
8.Mimi mwenyewe Nina ndugu 3