Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Baby nakupenda.
hzo ni za kiprimary, et haya washa redio,zima. gonga sufuria au angusha kijiko ili nijue upo hm! hahahaa binadamu hachungwî et...
He he he mapenzi ya primary magumu sana....................
Kwani akisema ndo nini ujinga mwingine bana eti kisa mapenzi.................
Bora yetu sisi kulikuwa hakuna simu anapita na baiskeli analiza kengele
unatoka kwenda kumwona ilikuwa raha kuliko siku hizi stress na visimu vya Techno
hahaa,umeona eeh! BTW POLE KWA MSIBA...
Msiba wa nani tenaaaaaaaa huo jama?
kuna post nilisoma kuwa alifiwa na bibi yake nahc mwez ulopita!