Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Wakuu,
Kuna mtu nilimkopesha Pesa kiasi, na tuliandikishana "locally" sababu kipindi hicho alikua ni hawara/boyfriend wa Mama yangu Mdogo.
Hatukwenda kwa Mwanasheria yeyote na alinipa hati yake ya Nyumba nimshikie kama kidhibiti.
Sasa ananizungusha mwaka wa pili huu, naweza kuyatumia hayo maandikishiano kumshitaki? Na kesi za aina hua zinaanziaga wapi?
Na hii ikithibitika kua sahihi ni yake hua zinaishiaga vipi?
Naweza kuomba mahakama hiyo Nyumba iuzwe nilipwe changu?
Kuna mtu nilimkopesha Pesa kiasi, na tuliandikishana "locally" sababu kipindi hicho alikua ni hawara/boyfriend wa Mama yangu Mdogo.
Hatukwenda kwa Mwanasheria yeyote na alinipa hati yake ya Nyumba nimshikie kama kidhibiti.
Sasa ananizungusha mwaka wa pili huu, naweza kuyatumia hayo maandikishiano kumshitaki? Na kesi za aina hua zinaanziaga wapi?
Na hii ikithibitika kua sahihi ni yake hua zinaishiaga vipi?
Naweza kuomba mahakama hiyo Nyumba iuzwe nilipwe changu?