Namfagilia sana Joyce Mwakalinga

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Ni jambo jema kumpongeza na kumpa moyo mtu anayefanya kazi nzuri. Kati ya watangazaji wa kipindi cha magazeti star tv na rfa, huyu dada watu wengi wanamkubali. Habagui hbr na anajua ni hbr zipi zenye mvuto kwa wasikilizaji na huzima kwa msisitizo. Ni tofauti sana na mwenzie Tom Chilala ambaye akiwa msoma magazeti siku hiyo watu wengi hawasikilizi kwani anaboa.
 


waandishi wengi katika media tofauti wamenunuliwa na magamba,hapo star tv ukiondoa huyo dada wengine wote kina faraji magoa na yule dada asiejua kiswahili ambaye kila mstari anakujuza wote hovyo tu. TBCCM nao ndo kabisa hawasomi hata gazeti la mwanachi. Ukiacha chanel ten,media nyingine zote hawasomi magazeti vizuri.
 

Hata mimi namfagilia sana .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…