FUTA HIYO THREAD YAKO
Umedhihirisha kuwa wewe ni MtanzaniaUgua pole mchungaji!
Watanzania siku hizi huwa hatuchelewi kutoa ubashiri ambao hautuhusu, utasikia anasumbuliwa na gridi ya taifa.
Sorry Aggy, Mchungaji anakunywa pombe !??
Huyu kanisa ni LA kwake utasemaje wizi wa sadaka??Labda useme kachukua sadaka pengine ilitakiwa ijenge kanisa kaitumia vinginevyo sio wizi wa sadaka wakati kanisa ni lake
ArchiveTupieni na picha zake za achieve!
Hahaha .. kanisa no moja tu katoliki takatifu na la mitume..
kanisa ni moja tu Katoliki Takatifu na La Mitume..
Mkuu anatupiamo vyombo?
Huyu kanisa ni LA kwake utasemaje wizi wa sadaka??Labda useme kachukua sadaka pengine ilitakiwa ijenge kanisa kaitumia vinginevyo sio wizi wa sadaka wakati kanisa ni lake
Sent using Jamii Forums mobile app
unamjua maana ya mungu amrehemu?
thanks to god the almighty
Kuchukua Mali ya MTU mwingine bila idhini yake,sadaka zile mwenye idhini ya mwisho ni yeye mwenye kanisa. Wahudumu wangechukua ndio tungesema wameiba!!Yeye akitumia vinginevyo hajaiba ,labda tunaweza kusema kafanya Ubadhilifu...yaani kutumia Mali pasipo usahihi wake wa malengo na kiwango kilichotakiwa au kutarajiwa
Rudisha kale kaavata mkuuAiseeee.....[emoji15] [emoji15]
Alafu mbona umekimya sasa [emoji2955]Hiyo Pete hmm!
Ila Mungu amrehemu
Hata mimi nilishangaa sana nilimuona startv muda wa saa ya farajaNimeshtuka sana kuona picha hii ya mchungaji Lusekelo,kwa kweli afya yake imeporomoka sana tena sana,jamaa bila shaka ni mgonjwa...View attachment 1060239
mkuu acha vitisho, hili ni jukwaa huru!FUTA HIYO THREAD YAKO