Nami natafuta wa ku-do nae..

Some people confuse JF with Facebook where hooking is the order of the day.
 
“People act lyk they know... At the end they know nothing”
 


eeh mambo ya binadamu hayo? Hata ujakosea.
 
Bangi nyingine nazo! Asiwe changu wakati wewe unaonyesha kila sifa na dalili za hali hiyo ili iweje? Mijitu mingine ikikosa hoja na kuamka na hang over hujipayukia. Go tell it the birds and shame on you!

baba umeona eenh, usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio
 

mzabzab mpm mwenzako ukamuonyeshe viwanja
 

Una hela ww????
kama huna kafie mbele
 
Watu wengine hapa JF wananishangaza sana,
Wanapenda kujifanya watakatifu sana wakati wanayoyafanya wakiwa mitaani wanajua yenyewe.

Unaweza ukawa bored na "kitu" yako ya kila siku, ukahitaji angalau kubadili upepo japo kwa siku moja tu.

Nilishawahi kuja na "part one" ya hii topic, nashukuru mwana-JF mmoja alinielewa akaniunganishia kwa rafiki yake ikawa ni burudani tosha.
 

Usife moyo kuja JF kutafuta mademu. Kama una usongo na baadhi ya mademu hapa JF sawa, lakini kama ni demu tu wa kupiga miti na pochi ya kijinga unayo (provided huna malengo maishani) basi mbona kuna kina Aunty Ezekiel, Wema Sepetu, Shilole, Aunt Lulu, Dida, na mademu feki wengi tu wa bongo movies wanataka kupigwa miti na watu kama wewe. Chakarika mwanangu kabla haujawakosa maana wikiendi inakaribia na tenda inazidi kupungua.:confused2:
 

Tafuta bata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…