Nami nimejiunga

MPANDA Jr

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,295
Reaction score
159
Nawapenda wote. Ndo nami niitwaye kama hapo juu nimejiunga. Nitapenda kushiriki Siasa.
 
Karibu JF. Hanipha.
 
Last edited by a moderator:
Nimesema karibu uwe kwetu, kwetu ndio ukweli unakoishi....utafurahi kuusema ukweli na ukweli utakuweka huru nawe utakua huru kweli kweli, niliwahi kukutana na Dada mmoja Tanga-VETA anaitwa jina kama lako, tukasafiri wote hadi Dar but since then sijawahi kumuona wala kusikia tena toka kwake..........kwahio!!!!
Nieleweshe niwe wapi? Nitapenda kuwa msema kweli
 

Me nipo Dodoma kwa sasa kikazi. Asante Elli kwa ukaribisho. Mimi ni mhitim wa chuo kikuu na pia ni mfuasi wa mabadiliko. Nitatetea kweli. Wewe je upo wapi
 
Karibu sana tunakuitaji kwenye mabadiliko
 
Mpwa wangu, hakika wewe uko upande mwema, niko upande wa Haki na ukweli...karibu sana sana nitakua hapo UDOM kesho kikazi, thanks
Me nipo Dodoma kwa sasa kikazi. Asante Elli kwa ukaribisho. Mimi ni mhitim wa chuo kikuu na pia ni mfuasi wa mabadiliko. Nitatetea kweli. Wewe je upo wapi
 
kaaaaaaaaaaaaaaaaaaa riiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii buuuuuuuuuuuuuuuuu saaaaaaaaaaaaaaaaa naaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…