Nami nimemuadhibu mpenzi wangu aliyenijeruhi kwa kunipiga kichwani

Nami nimemuadhibu mpenzi wangu aliyenijeruhi kwa kunipiga kichwani

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mjuavyo tena katika mahusiano, kugombana na kurudiana ni kitu cha kawaida; mtakaa na kuombana msamaha na hatimaye mnafikia muafaka.

Jana jioni, mrembo akaamua kuja kunitembelea nyumbani kwa mapigo ya kichokozi chokozi, lengo ni kuniamsha hisia ili niweze kusamehe na kusonga mbele.

Mimi nikampokea kwa mikono miwili, ikabidi nimuagizie kitimoto kidogo, pamoja na kinywaji laini cha kushushia; kwa upande wangu nikaagiza samaki sato nikatengeneza supu yake, pamoja na matunda mchanganyiko, nikashushia na maji mengi ya kutosha.

Baada ya kuzungumza kwa kina, nikamwambia nimekusamehe tugange yajayo; hapo hapo tukajikuta kila mmoja anamtaka mwenzie.

Kusema ukweli, nimemchapa viboko vya kutosha usiku kucha, mpaka akawa anapiga makelele ya kutisha mpaka huko nje wakawa wanasikia, mi nikawa naendeleza kumchapa viboko tu, yeye ameenda mara saba, mimi mara moja tu, wazungu hawataki kutoka.

Ilipofika saa 12 asubuhi, akajitoa kwa nguvu mikononi mwangu akakimbilia bafuni na kuvaa haraka haraka na kufungua mlango na kunikimbia.

Akiwa ametoka nje, akaanza kuongea kwa sauti, ''naona leo umeamua kuniadhibu kwa bakora, sirudi tena hapa kwako, naenda kupoza na barafu baada ya miezi miwili tutawasiliana''

Mi nikawa sina la kujibu zaidi ya kumtazama dirishani, huku bakora ikiwa iko juu, ingawa kimoyo moyo nikawa najisemea bahati yako umecholopoka ukakimbia.

Kutokana na nilivyomchapa, nimemsamehe.​
 
images.jpeg
 
Back
Top Bottom