Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Sio chai mkuuHumu ndani chai hazijawahi kuisha π΅
We cheka iko siku ntakulamba ban ya miezi 6 nimekuweka kwenye list ya uangalizi maalum haiwezekan ukawa kila siku mleta chai ni weweπππ ndio hivyo tumesharudiana
Kwa sasa amenona kweli πHatari sana
Nyie mnaishi dunia ya wapi haya yasiwatokee nyie π πWe cheka iko siku ntakulamba ban ya miezi 6 nimekuweka kwenye list ya uangalizi maalum haiwezekan ukawa kila siku mleta chai ni wewe
Nilishaichapa mpka nikaona imefutika kwa namna ya kuomba msamaha πInakuwa na hisia kali, kila mmoja anatoa ushirikiano
Hii chai ya maziwa tunayokunywa huwa inalimwa?Nje ya mada.
Hivi kilimo cha chai hadi kuvuna ni muda gani?
Vizuri sanaMjuavyo tena katika mahusiano, kugombana na kurudiana ni kitu cha kawaida; mtakaa na kuombana msamaha na hatimaye mnafikia muafaka.
Jana jioni, mrembo akaamua kuja kunitembelea nyumbani kwa mapigo ya kichokozi chokozi, lengo ni kuniamsha hisia ili niweze kusamehe na kusonga mbele.
Mimi nikampokea kwa mikono miwili, ikabidi nimuagizie kitimoto kidogo, pamoja na kinywaji laini cha kushushia; kwa upande wangu nikaagiza samaki sato nikatengeneza supu yake, pamoja na matunda mchanganyiko, nikashushia na maji mengi ya kutosha.
Baada ya kuzungumza kwa kina, nikamwambia nimekusamehe tugange yajayo; hapo hapo tukajikuta kila mmoja anamtaka mwenzie.
Kusema ukweli, nimemchapa viboko vya kutosha usiku kucha, mpaka akawa anapiga makelele ya kutisha mpaka huko nje wakawa wanasikia, mi nikawa naendeleza kumchapa viboko tu, yeye ameenda mara saba, mimi mara moja tu, wazungu hawataki kutoka.
Ilipofika saa 12 asubuhi, akajitoa kwa nguvu mikononi mwangu akakimbilia bafuni na kuvaa haraka haraka na kufungua mlango na kunikimbia.
Akiwa ametoka nje, akaanza kuongea kwa sauti, ''naona leo umeamua kuniadhibu kwa bakora, sirudi tena hapa kwako, naenda kupoza na barafu baada ya miezi miwili tutawasiliana''
Mi nikawa sina la kujibu zaidi ya kumtazama dirishani, huku bakora ikiwa iko juu, ingawa kimoyo moyo nikawa najisemea bahati yako umecholopoka ukakimbia.
Kutokana na nilivyomchapa, nimemsamehe.
Hello ulifanya ile issue πVizuri sana
Issue gani kaka anguHello ulifanya ile issue π
Lile zoezi la mwiliIssue gani kaka angu
πππ
Ndio njoo selfika nikuonyesheLile zoezi la mwili
Nii tag hata sijui kuja mdogo wanguπNdio njoo selfika nikuonyeshe
Sawa nakutagNii tag hata sijui kuja mdogo wanguπ
Watanzania hatukuwa tayari kwa uhuruMjuavyo tena katika mahusiano, kugombana na kurudiana ni kitu cha kawaida; mtakaa na kuombana msamaha na hatimaye mnafikia muafaka.
Jana jioni, mrembo akaamua kuja kunitembelea nyumbani kwa mapigo ya kichokozi chokozi, lengo ni kuniamsha hisia ili niweze kusamehe na kusonga mbele.
Mimi nikampokea kwa mikono miwili, ikabidi nimuagizie kitimoto kidogo, pamoja na kinywaji laini cha kushushia; kwa upande wangu nikaagiza samaki sato nikatengeneza supu yake, pamoja na matunda mchanganyiko, nikashushia na maji mengi ya kutosha.
Baada ya kuzungumza kwa kina, nikamwambia nimekusamehe tugange yajayo; hapo hapo tukajikuta kila mmoja anamtaka mwenzie.
Kusema ukweli, nimemchapa viboko vya kutosha usiku kucha, mpaka akawa anapiga makelele ya kutisha mpaka huko nje wakawa wanasikia, mi nikawa naendeleza kumchapa viboko tu, yeye ameenda mara saba, mimi mara moja tu, wazungu hawataki kutoka.
Ilipofika saa 12 asubuhi, akajitoa kwa nguvu mikononi mwangu akakimbilia bafuni na kuvaa haraka haraka na kufungua mlango na kunikimbia.
Akiwa ametoka nje, akaanza kuongea kwa sauti, ''naona leo umeamua kuniadhibu kwa bakora, sirudi tena hapa kwako, naenda kupoza na barafu baada ya miezi miwili tutawasiliana''
Mi nikawa sina la kujibu zaidi ya kumtazama dirishani, huku bakora ikiwa iko juu, ingawa kimoyo moyo nikawa najisemea bahati yako umecholopoka ukakimbia.
Kutokana na nilivyomchapa, nimemsamehe.