Lyceum JF-Expert Member Joined Oct 1, 2009 Posts 1,046 Reaction score 568 Oct 21, 2009 #1 Amani kwenu wana jf; niko na furaha kujiunga na forum the home of great thinkers. Natumai nami nitachangia ili nami niweze kuchangia kwenye kufanya watanzania kufikiri kwa uhuru zaidi. Tupo pamoja
Amani kwenu wana jf; niko na furaha kujiunga na forum the home of great thinkers. Natumai nami nitachangia ili nami niweze kuchangia kwenye kufanya watanzania kufikiri kwa uhuru zaidi. Tupo pamoja
Hebrew JF-Expert Member Joined Jul 3, 2008 Posts 562 Reaction score 170 Oct 21, 2009 #2 Karibu sana hapa JF
B Baba Mkubwa JF-Expert Member Joined Oct 18, 2008 Posts 814 Reaction score 108 Oct 21, 2009 #3 feel at home
Z Zion Daughter JF-Expert Member Joined Jul 9, 2009 Posts 8,921 Reaction score 4,240 Oct 21, 2009 #5 Shalom Lyceum. Wakaribishwa sana na ujisikie nyumbani tafadhali.
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 Oct 21, 2009 #6 Ziondaughter said: Shalom Lyceum. Wakaribishwa sana na ujisikie nyumbani tafadhali. Click to expand... Hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she.
Ziondaughter said: Shalom Lyceum. Wakaribishwa sana na ujisikie nyumbani tafadhali. Click to expand... Hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she.
S Shangazi JF-Expert Member Joined Mar 24, 2009 Posts 307 Reaction score 30 Oct 21, 2009 #7 chrispin said: hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she. Click to expand... kwani unatafuta mchumba jf?
chrispin said: hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she. Click to expand... kwani unatafuta mchumba jf?
JS JF-Expert Member Joined Sep 29, 2009 Posts 2,064 Reaction score 504 Oct 21, 2009 #8 Chrispin said: Hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she. Click to expand... Inabidi Moderator aifanyie kazi lile swala la Firstlady kuondoa tabu ya wanaJF kuhusu jinsia za memba wapya. Itakuwa vema sana.
Chrispin said: Hujamuuliza kale kaswali ketu ka he au she. Click to expand... Inabidi Moderator aifanyie kazi lile swala la Firstlady kuondoa tabu ya wanaJF kuhusu jinsia za memba wapya. Itakuwa vema sana.