Karibu sana ZD,
Ulitakiwa upime upepo kabla ya kugombea Udiwani alafu yule kampeni meneja wako amekuangusha kweli kweli alikuwa hatembezi mgao kwa wapambe
Thanks you all.Mie nipo huku Kijijini (Nipo USALULE ,muulizeni KIMEY ndio kanificha huku) nasubiri mjomba aniletee nauli ili nije mjini....
Nashukuru uchaguzi umeisha salama na Amani ya nchi yetu inawendelea.
STAY BLESSED ALWAYS & LONGLIVE JEIEFU.